Majengo yamedondoka sana Hata katika nchi zenye maendeleo Kama Marekani, Lkn wahusika waliwajibishwa accordingly. So jengo kudondoka si Bahati mbaya ni uwezo mdogo wa utaalam na kushindwa kufuatilia taratibu za kiujenzi na Kuwa makini na sehemu linapojengwa jengo. Kwa kuangalia Kama Hilo enea linamatetemeko ya Mara kwa Mara au la , upepo mkali, umbali kutoka usawa wa Bahari nk na yote haya kunawatu wanesomea na wanalipwa kwa Hayo so jengo linapodondoka lazima tukubali something is wrong somewhere, na Kuwa watu ni mbaya kuliko!