jengo la Tanesco ubungo linahusishwa na R.A

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,483
54,851
kuna tetesi kwamba jengo la tanesco ambalo linataka kubomolewa ni la Rostam.aliwakodisha tanesco.
je ni kweli???
 
Hapana lile jengo ni mali ya tanesco, lilijengwa wakati wa manging director the late mhaville, na mkandarasi alikuwa ni noremco, labda kama wamelikweka rehani benk wakakopa pesa kwa rostam. Lakini ninavyojua ni mali ya tanesco 100%
 
kuna tetesi kwamba jengo la tanesco ambalo linataka kubomolewa ni la Rostam.aliwakodisha tanesco.
je ni kweli???
Tunapenda kutowa mada zisizo na mshiko lakini mradi wakitajwa watu fulani basi hatufikiri. Kwani wenyew si juzi tu walitowa tamko jee hili hawalijuwi?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom