Ukimuondoa mwandishi wa makala Jenerali Ulimwengu na baadhi yetu wachache sana, Watanzania wengi wengine wapo wanaamini kitu ambacho hikijawahi kutokea katika historia ya siasa za dunia, nacho ni chama kilicho madarakani kwa 'mbinu' kukubali kuleta katiba mpya inayoweza kuleta haki na usawa. Kitu hiki ni kigumu!
- Alikuwa Mkuu wa Wilaya wa CCM alifanya nini cha tofauti na wanaopinga sasa?, Alikuwa msaidizi wa Mkapa akiwa Rais alisaidia kubadilisha nini zaidi ya hawa anaowapinga sas? Baada ya CCM kumtema kwenye kamati yake ya kampeni za Urais wa pili wa Makapa ndio akabadilika na kuanza kuitukana CCM kwa maana ya kwamba wakimpa tena mlo atabadilika tena na kuanza kuisifia CCM kama alivyokuwa zamani,
- Kamati ya Usalama ya Bunge wakati wa Utawala wa Mkapa iliamua kwamba huyu sio Raia wa hapa na arudishwe kwao, lakini Mkapa akaweza urafiki wake na huyu mtu mbele zaidi na kukataa maamuzi ya kamati ya bunge na haya ndio matokeo yake, imagine mbongo aende Rwanda aandike article kama hii Kagame atamfanya nini?
- Katiba mpya inaandikwa na Wa-Tanzania wote sio kundi lako la Serikali Tatu tu, halafu kwa ujanja sana anajaribu kuamua kwamba Rais ajaye ni yule aliyekutana na maboda boda juzi kinondoni, kumbe ndio waliomlipa kuandika hii kitu huzuni sana hili taifa!! Ameanza siku nyingi kutabiri mabaya kwa Taifa na bado haachi tu pamoja na kwamba hayatokei, kaka rudi kwenu tuwachie Taifa letu sisi ni watu wa amani always no matter what we weill stay the same, nenda uwasaidie Chadema huko wanataka kuuana na hela za Rostam na Mkono, marafiki zako!!
Le Mutuz
Labda na wewe huja muelewa,
Should we accept a constitution of which we do not agree just because of costs and time spent??
Logic ya Raisi Kikwete ni simple tu, tuwe na katiba ambayo contents zake wananchi wanakubaliana nazo!
Na kama wananchi hawakubaliani na contents hizo basi ni bora kuitumia katiba iliyopo kuliko kuipitisha tu katiba mpya ambayo wananchi haikubali, eti ipitishwe tu Kwasababu tumetumia gharama kubwa na muda wa kutosha.
Ningeshangaa sana kama huyu generali Ulimwengu ambaye ana asili ya WanyaRwanda a-predict mema kwa Tanzania! Ameshika peni "Made in Rwanda" anapotumia kuandika alichoandika.
Katiba yoyote unapotengeneza iliyopo haifi hadi hiyo unayotengeneza mchakato wake unapokamilika ndicho Raisi alichomaanisha.Simple and clear.Kama wananchi au bunge halijaikubali hiyo Rasmu ina maana hiyo katiba mpya bado haijakamilika hivyo hiyo ya zamani inaendelea hadi hiyo mpya iwe tayari.
Mwandishi mzoefu kama yeye kushindwa kuelewa Raisi kasemaje ni aibu kwake na kwa taaluma yake.Au aliandika hii makala hii akiwa chakari bar manaake kwa pombe hajambo.
Take the proposed new constitution, for instance. No magical realism there. The chair of the constitutional review commission, Joseph Warioba, said the other day that the proposed three-tier government came from the views collected during the public hearing conducted by his team; he and his commission were not inventing anything new.
Still, certain people in his own party incline to the view that notwithstanding the views expressed by the public, Warioba should have been able to craft a proposal that rejected the idea of three governments within the Union.
I have failed to make head or tail of the arguments advanced by ruling party in this area, and I admit bafflement.
So, when the constituent assembly is convened, I expect the ruling party, which will be in a sizeable majority, to shoot this proposal down. If this happens, it will open up a new Pandora's Box that may lead to an impasse and a possible constitutional crisis.
Ningeshangaa sana kama huyu generali Ulimwengu ambaye ana asili ya WanyaRwanda a-predict mema kwa Tanzania! Ameshika peni "Made in Rwanda" anapotumia kuandika alichoandika.
Katiba yoyote unapotengeneza iliyopo haifi hadi hiyo unayotengeneza mchakato wake unapokamilika ndicho Raisi alichomaanisha.Simple and clear.Kama wananchi au bunge halijaikubali hiyo Rasmu ina maana hiyo katiba mpya bado haijakamilika hivyo hiyo ya zamani inaendelea hadi hiyo mpya iwe tayari.
Mwandishi mzoefu kama yeye kushindwa kuelewa Raisi kasemaje ni aibu kwake na kwa taaluma yake.Au aliandika hii makala hii akiwa chakari bar manaake kwa pombe hajambo.
Hayo mambo huyawezi afadhali ukazanie mashindano ta warembo labda utakuwa na hoja ya maana. Ana kweli mtoto wa nyoka ni nyoka tu.
Hao jamaa unaowashabikia ndio waliomtoa mdingi wako kwenye mbio za urais wakati ule.
Akili ya kuambiwa changanya kidogo na ya kwako.
- Ni afadhali ungenyamaza tu maana sio siri siasa huijui kaka, mwenyewe muhusika umeona amejibu hoja ya tatu zingine ameziacha tuliza boli haya mambo sio yako kaka!!
Le Mutuz
- Alikuwa Mkuu wa Wilaya wa CCM alifanya nini cha tofauti na wanaopinga sasa?, Alikuwa msaidizi wa Mkapa akiwa Rais alisaidia kubadilisha nini zaidi ya hawa anaowapinga sas? Baada ya CCM kumtema kwenye kamati yake ya kampeni za Urais wa pili wa Makapa ndio akabadilika na kuanza kuitukana CCM kwa maana ya kwamba wakimpa tena mlo atabadilika tena na kuanza kuisifia CCM kama alivyokuwa zamani,
- Kamati ya Usalama ya Bunge wakati wa Utawala wa Mkapa iliamua kwamba huyu sio Raia wa hapa na arudishwe kwao, lakini Mkapa akaweza urafiki wake na huyu mtu mbele zaidi na kukataa maamuzi ya kamati ya bunge na haya ndio matokeo yake, imagine mbongo aende Rwanda aandike article kama hii Kagame atamfanya nini?
- Katiba mpya inaandikwa na Wa-Tanzania wote sio kundi lako la Serikali Tatu tu, halafu kwa ujanja sana anajaribu kuamua kwamba Rais ajaye ni yule aliyekutana na maboda boda juzi kinondoni, kumbe ndio waliomlipa kuandika hii kitu huzuni sana hili taifa!! Ameanza siku nyingi kutabiri mabaya kwa Taifa na bado haachi tu pamoja na kwamba hayatokei, kaka rudi kwenu tuwachie Taifa letu sisi ni watu wa amani always no matter what we weill stay the same, nenda uwasaidie Chadema huko wanataka kuuana na hela za Rostam na Mkono, marafiki zako!!
Le Mutuz
Babako alibadili dini ili agombee urais.Mzee Jumanne a.k.a Malcela. Uwiii wagogo noumer