Jee Vodacom Internet Wameshindwa Kazi?

Jee Vodacom Internet Wameshindwa Kazi?

Mr. Meza je vifurushi vyetu tulivyonunua jana vya siku moja ndio imekula kwetu au
 
jamani acheni kuwananga vodacom.ina maana wote mliochangia hapo juu hamperuzi facebook?kwenye wallpage yao wametoa tangazo kwamba kuna tatizo la kiufundi ktk njia ya mawasiliano hasa ya internet.hebu m-like page yao muwe mnapata updates zao labla ya kulalamika jamiiforums.
 
Sawa na kwangu hadi nikabadili chip nikaweka ya mtandao mwingine sasa naperuzi bila shida, jamani wa voda wakirudi hewani tujuzane.

Mbona washarudi mkuu na tangazo wametowa
 
nyie Vodacom CS Support kama mpo hum..toke siku 4 zilizopita net ipo slow sana na mesej nikituma hazitoki, nimewapigia simu hamueleweki...sasa li line lenu nimeweka kwenye kabati mpaka mtapo jirekebisha.
 
Back
Top Bottom