njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 13,258
- 7,101
amesema java not symbian
symbian walikuwa hawatumii java..? Ni os gani nyingine inatumia java hebu nisaidie
amesema java not symbian
hapa siwezi kubaliana na ww hata kidogo! Customization na user friend naona kwenye symbian ndo zaid!
Baadhi ya sababu kubwa kwa nokia kuidrop symbian zlikua hz!
1) haina uwezo wa kusuport procesor zakisasa (namaanisha zenye core zaid ya 1) kama ujuavyo watu skuiz wanaangalia smu ina core ngap?
2) ilikua haisuport screen kubwa! Ndomaana hakuna masimu makubwa ya symbian kama s3, note na nyngne?,., na soko skuiz lmehamia kwenye hyo kitu.?.,
watu weng husema symbian mbaya wakat wame2mia s60 seriez hawaja jarbu bele na ana,.. Ni sawa na mtu kujsifu nna androids ilhali anatumia 1.5