mlimilwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,078
- 3,142
kama kulopoka ni tabia yake, hata wakimuandikia hatasoma hatasoma,maana atatamani kuendelea na tabia yake ileile.
kama unategemea ushauri kwa kua mwenzie ni mwalimu heti kasoma somo la saikokiji,basi pale ndio penyewe, maana wote ni walimu, na akijichanganya anachezea vitasa.
yaani hapo hatuna jinsi, tuvumilie tu pasco.
kama unategemea ushauri kwa kua mwenzie ni mwalimu heti kasoma somo la saikokiji,basi pale ndio penyewe, maana wote ni walimu, na akijichanganya anachezea vitasa.
yaani hapo hatuna jinsi, tuvumilie tu pasco.