bushland JF-Expert Member Mar 6, 2015 7,016 4,961 Apr 19, 2016 #3 Crocodiletooth said: Click to expand... Tumsifu ............ . . . mtume
MasterP. JF-Expert Member Jun 5, 2013 7,985 6,248 Apr 19, 2016 #5 kachuma juani sasa ala kivulini mamsapu pembeni nini... Ila nje kwake nadhani askari tena FFU bado wapo.. Jamaa bado wanamtamani sana
kachuma juani sasa ala kivulini mamsapu pembeni nini... Ila nje kwake nadhani askari tena FFU bado wapo.. Jamaa bado wanamtamani sana
samsun JF-Expert Member Feb 9, 2014 7,386 5,954 Apr 19, 2016 #6 Huyo kwa cheo chake anastahili maisha hayo, ila sema sasa hivi atakuwa kaongezewa salio kwa sababu kawezesha.
Huyo kwa cheo chake anastahili maisha hayo, ila sema sasa hivi atakuwa kaongezewa salio kwa sababu kawezesha.
The Monk Platinum Member Oct 12, 2012 19,254 42,873 Apr 19, 2016 #7 Wasiwasi wangu wasije wakaona ameshakua liability...........
sinafungu JF-Expert Member Feb 13, 2010 1,524 863 Apr 19, 2016 #8 maalim Seif akimuona huyo nadhani atampiga ngumi, diplomasia itawekwa kando.
Miiku JF-Expert Member Oct 8, 2014 3,835 2,630 Apr 19, 2016 #9 Anayafurahia maisha baada ya kazi kubwa aliyoifanya.
Mvumbo JF-Expert Member Aug 20, 2015 3,444 11,942 Apr 19, 2016 #11 Hapo bado.....alitakiwa apewe cheo cha katibu mwenezi wa Ccm kwa "Kazi" kubwa aliyoifanya
KWEZISHO JF-Expert Member Jan 29, 2016 7,519 6,511 Apr 19, 2016 #13 Duhh, hii picha aingeipigia pale Chake chake