Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,334
- 5,841
AaahaaaaaYanga tumeshajiandaa kuwapoteza hao tutashusha vyuma vingine tabu iko palepale
Nadhani scouting timu washaanza kutafuta wachezaji wakuziba nafasi yao
AaahaaaaaYanga tumeshajiandaa kuwapoteza hao tutashusha vyuma vingine tabu iko palepale
AaahaaaaaYanga tumeshajiandaa kuwapoteza hao tutashusha vyuma vingine tabu iko palepale
Wachambuzi uchwara mshaanza na mikopo yenu kujiondolea maumivu ya kono la nyani.Yote yanawezekana ila mwisho wa siku lazima waondoke. Max yuko kwa mkopo Yanga hivyo kuondoka ni jambo linalowezekana wakati wowote.
Kaambiwa na Bin KazumariNani kakuambia yupo kwa mkopo?
Usiwe mkurupukaji mzee. Sio kila anayeandika kuhusu taarifa ambayo hupendi kuisikia basi si mmoja wenu. Usipende kusikia yanayokufurahisha tu.Wachambuzi uchwara mshaanza na mikopo yenu kujiondolea maumivu ya kono la nyani.
Kolo mmeanza hhhhhYote yanawezekana ila mwisho wa siku lazima waondoke. Max yuko kwa mkopo Yanga hivyo kuondoka ni jambo linalowezekana wakati wowote.
Lete hapa huo mkataba wake tuone,au lete voice note ya Kiongozi wa Yanga akisema kuwa kasajiliwa kwa mkopo. Halafu acheni shobo na kutafuta umaarufu kupitia Yanga.Usiwe mkurupukaji mzee. Sio kila anayeandika kuhusu taarifa ambayo hupendi kuisikia basi si mmoja wenu. Usipende kusikia yanayokufurahisha tu.
Mchezaji kusajiliwa kwa mkopo si dhambi. Mimi si shabiki wa timu unayoisema
Kinachokuonyesha kuwa mimi ni hiyo timu unayoisema ni kipi mkuu?
Weka ushahidi wa mkataba hapa,la sivyo wewe ni kolo kono la nyani.Kinachokuonyesha kuwa mimi ni hiyo timu unayoisema ni kipi mkuu?
Wewe una mkataba unaonyesha hajasajiliwa kwa mkopo utuonyeshe hapa dunduka?Weka ushahidi wa mkataba hapa,la sivyo wewe ni kolo kono la nyani.
Acha blah blah wewe kolo,weka hapa ushahidi. Kama huna ushahidi kaa kimya.Wewe una mkataba unaonyesha hajasajiliwa kwa mkopo utuonyeshe hapa dunduka?
Msitumie hasira kwenye vitu vidgo. Kusajili kwa mkopo bado ni usajili tu na mchezaji atasemwa amesajialiwa na ataipa timu manufaa kwa wakati aliopo
Sijawahi kuwa hiyo timu unayoisema. Nimekuwa shabiki na mpenzi wa Yanga for almost 30 years. Furaha ikikuzidi sana inaondoa utashi wa kufikiri. Hongera sana mzee .Acha blah blah wewe kolo,weka hapa ushahidi. Kama huna ushahidi kaa kimya.
makolo akili hawana ndio maana ahmed ally na try again wanawadanganya wanavyotakaKaambiwa na Bin Kazumari
Inafahamika kwa Sasa namna ambavyo team nyingi kubwa afrika kwa Sasa zinavyohangaika kutafuta makocha na wachezaji wazuri watakaoleta sio TU ushindi Bali pia mpira wenye furaha na burudani kwa mashabiki wao.
Gamondi kocha wa yanga ameonesha kiwango kikubwa sana pamoja na mchezaji Max katika kuleta ushindi na burudani ya soccer
Endapo Gamondi atafanikiwa kuipiga Al Ahly nje ndani kwenye Cafcl basi miamba hiyo ya Cairo itaweka zaidi ya bilioni 3 kwa ajili ya Gamondi na Max ili kuboresha kikosi Chao
Hii ndio gharama ya kufanya vizuri Viva yanga
sera ya al ahly ni tofauti sana,hawawezi kuja kumchukua gamondi wala max,ukumbuke gamondi amefundisja muda mrefu sana afrika kaskazini na kipindi chote hicho ahly hawakuwanna shida nae na hata alivyorudi kwao,pia hawakumfuata,hivyo hawawezi kumchukua kwa sasa,wao wanataka kocha mwenye viwango vya juu sanaInafahamika kwa Sasa namna ambavyo team nyingi kubwa afrika kwa Sasa zinavyohangaika kutafuta makocha na wachezaji wazuri watakaoleta sio TU ushindi Bali pia mpira wenye furaha na burudani kwa mashabiki wao.
Gamondi kocha wa yanga ameonesha kiwango kikubwa sana pamoja na mchezaji Max katika kuleta ushindi na burudani ya soccer
Endapo Gamondi atafanikiwa kuipiga Al Ahly nje ndani kwenye Cafcl basi miamba hiyo ya Cairo itaweka zaidi ya bilioni 3 kwa ajili ya Gamondi na Max ili kuboresha kikosi Chao
Hii ndio gharama ya kufanya vizuri Viva yanga
Kwenye mpira haiko hivyo. Gamondi akifanya vizuri na Yanga champions league hata hao Ahly watataka kuwa naye hakuna linaloshindikana. Kwani kilichowafanya wamchukue kocha Pitso na mchezaji Percy Tau toka Mamelody ni nini?sera ya al ahly ni tofauti sana,hawawezi kuja kumchukua gamondi wala max,ukumbuke gamondi amefundisja muda mrefu sana afrika kaskazini na kipindi chote hicho ahly hawakuwanna shida nae na hata alivyorudi kwao,pia hawakumfuata,hivyo hawawezi kumchukua kwa sasa,wao wanataka kocha mwenye viwango vya juu sana
Maxi hawezi kuondoka mwakani wala Gamondi. Ila baada ya hiyo miaka miwili inawezekana. Na hilo sio ajabu kutokea kwenye mpira.Nabi na Mayele hawapo Yanga, kama unavyoimba hii pambio leo, ndivyo utakavyoimba mwakani wakati hawapo.
Gamond hua haongeagi saana..wala hashangilii saana..yeye ni vitendo tu.Master Gamondi
Walitufunga 5 tukiwa pungufu wwchezaji 2,timu yenyewe ilikua mbovu na tulikua ndani ya mgogoro,wao tumewafunga ikiwa hiki ndio kikosi chao cha dhahabu wanachotamba nacho na kudanganyana wao timu kubwa afrika 😃Wapigwe hata 10 ili hii ya tuliwapiga 5-0 nyinyi mmetupiga 5-1 ife kabisa maana bado wana midomodomo wapigwe mwanaukome moja matata midomo iache kuongea mwaka mzima,
Wapigwe 10-0 bila huruma ndio heshima itakuepo, bado wamefungwa Ila Simba wanaongea sana Yanga wawashone za kutosha tena game ijayo wapigwe nyingi