Keni Gardeni na maeneo yotee yaliyo karibu, Jogoo house pia...Ahhh sehemu nyingi tuu mkuu..
Ubarikiwe na ahsante sana nitakaribiakaribu sana
Nipo Arusha. Hizo makitu zinapatikana wapi aisee? Umenitamanisha sana Ameline
Kwenye mabaa tunakula vitu vichafu lakini vitamu.
Dah aiseee umanifanya nilowanishe kiibodi....
Pale yenu bar Dar kuna jamaa yeye naona mkono wake umeshakufa ganzi. Ukichagua nofu unalolitaka, kama ni kongoro, ulimi, mkia......yeye hana haja ya kutumia mshikio. Huwa anatumbukiza mkono wake kwenye sufuria linalochemka halafu anaibuka na pande. Anaanza kulikatakata kwa kutumia mikono tu bila uma.mmmmmh, vichafu kwa mantiki ipi? sasa nikuambie vitu vya baa vingi ni fresh vya motooo, lakini kwenye mahotel au cafe ni viporo tu, sandwiches tu,.. we utaona kinarembwaaa ukadhani kipo poa kumbe ndo matumbo kuuma, sikufichi mmi huwa sili cafe wala hotel ni baaa tu mkuu,
Pale yenu bar Dar kuna jamaa yeye naona mkono wake umeshakufa ganzi. Ukichagua nofu unalolitaka, kama ni kongoro, ulimi, mkia......yeye hana haja ya kutumia mshikio. Huwa anatumbukiza mkono wake kwenye sufuria linalochemka halafu anaibuka na pande. Anaanza kulikatakata kwa kutumia mikono tu bila uma.
Jasho likimtoka anajifuta na mkono huo huo. Mafua hali kadhalika. Na hiyo ndio supu.
Jamani we ameline ndo nini kufunguliana siku kihivi?yaani hapo mwenzio tayari nishaanza kuhaha nipate wapi supu hi asubuhi,em ngoja nimtume dogo akanitafutie supu ile ya kwanza kabisa, mate jamani mwenzenu loooo. noahism eti leo tunanyewa nini chai,au unapajua wanapouzaga supu kama ile ya kwenye picha ya kwanza kabisa.
Asante mwayego.pole sana mwaya,... enjoy it
ooh my dear Rich woman usijali mate hayo yatakauka tu siku moja, nataka muenjoy jamani