NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 12,322
- 10,898
mimba yako vipi akae nayo lara.au mimba waweza mpa mtu akushikie.una mimba yangu lara 1 naomba usitoe
mimba yako vipi akae nayo lara.au mimba waweza mpa mtu akushikie.una mimba yangu lara 1 naomba usitoe
kungekuwa na uwezekano wa kukabidhiwa japo kwa kamwezi kamoja naamini tusingejigamba mimba yangu.taamu kumbe hujui, mtu anakupa umbebee miezi tisa kasoro siku moja,
halafu kujifungua anaenda yeye wewe unabakia mtupu!!!!
Chezea kipayupayu weye!!!!!
kungekuwa na uwezekano wa kukabidhiwa japo kwa kamwezi kamoja naamini tusingejigamba mimba yangu.
Kwanza nazidiwa palepale,napiga vi2,then nagawa musu kwa nusu box la condom,nikirudi naziacha huko huko,namwambia nimezidiwa mpaka zimeisha.
nimesababishamimba yako vipi akae nayo lara.au mimba waweza mpa mtu akushikie.
Asubuhi unataka kusafiri mara mkeo anakuambia usubiri anakitu anataka akupatie,
wakati ukisubiri mara ghafla mkeo anakujia na box la condom anakupatia huku akikuambia
"nimeona nikupe hili box liwe kama kinga yako pindi utakapozidiwa".
Ukiwa umelipokea lile box na kuanza kuondoka mkeo anakufuata na kukuomba umpatie angalaupackets 4 za condom ili atumie pindi naye atakapo zidiwa.
Swali: wewe kama mwanaume ungefanyaje??????????
aha ha ha.umesababisha mwanamke awe na mimba yakenimesababisha
mchawi mkabidhi mtoto.Asubuhi unataka kusafiri mara mkeo anakuambia usubiri anakitu anataka akupatie,
wakati ukisubiri mara ghafla mkeo anakujia na box la condom anakupatia huku akikuambia
"nimeona nikupe hili box liwe kama kinga yako pindi utakapozidiwa".
Ukiwa umelipokea lile box na kuanza kuondoka mkeo anakufuata na kukuomba umpatie angalaupackets 4 za condom ili atumie pindi naye atakapo zidiwa.
Swali: wewe kama mwanaume ungefanyaje??????????