kiss daniel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 314
- 1,121
Aman iwe juu yenu wakuu msiwe wapuuz kama wafia dini wanao uana kisa wanatofautiana dini, msiwe wapuuz kama wafia dini wanaoitana makafiri kisa wanatofautina dini. Hawaaminian kabisa mkiristo anajua muislam anamuabudu shetan na ni mtu Wa moton tu pia mwisilam anaamin ukristo ni dini ya kutungwa na wakristo hawataiona pepo.
Twende kwenye maada
Ngoja nisileleke nayo wakuu
Je ivi mwanadada wema sepetu anakwama wapi mbona mamiss wenzake wako juu na wanaheshima sana kwenye jamii na wamejijengea misingi mikubwa sana kwenye maisha tofaut kabisa na yeye. Je anakwama wapi Dada yetu huyu
Ukiangalia mamis kama kylin, Nancy sumary, faraja, pia na jokate kidoti na huyu ambaye katwaa juzi miss makune anaonekana ana akili sana na hana Maisha ya mitandao kabisa.
Je huyu Dada yetu anakwama wapi, je bado ni mtoto utoto unamsumbua au bado hajajitambua
Mi nahisi watu waliomzunguka yaan campan yake ndo tatizo
Je anakwama wapi
Nawasilisha
Aman itamalaki juu yenu
NEW YORK BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Twende kwenye maada
Ngoja nisileleke nayo wakuu
Je ivi mwanadada wema sepetu anakwama wapi mbona mamiss wenzake wako juu na wanaheshima sana kwenye jamii na wamejijengea misingi mikubwa sana kwenye maisha tofaut kabisa na yeye. Je anakwama wapi Dada yetu huyu
Ukiangalia mamis kama kylin, Nancy sumary, faraja, pia na jokate kidoti na huyu ambaye katwaa juzi miss makune anaonekana ana akili sana na hana Maisha ya mitandao kabisa.
Je huyu Dada yetu anakwama wapi, je bado ni mtoto utoto unamsumbua au bado hajajitambua
Mi nahisi watu waliomzunguka yaan campan yake ndo tatizo
Je anakwama wapi
Nawasilisha
Aman itamalaki juu yenu
NEW YORK BOY
Sent using Jamii Forums mobile app