Je, waziri mkuu amezidiwa nguvu na suala la Faru John?

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Aug 28, 2016
8,658
15,793
Sote tulipigwa marufuku kiaina kuhusu kulizungumzia suala la faru John eti kwa vile liko mikononi mwa waziri mkuu. Since then tumekuwa tukimsikilizia waziri mkuu afunge mjadala ila naye kala kimya.

Inaonekana kama amekula kona kiaina baada ya kuona maji yamezidi unga!
Hii imenifanya nijiulize iwapo PM naye amezidiwa nguvu na suala la faru John?
 
Nnani kakupa ruhusa ya kuuanzisha huu mjadala?? Faru John asitamkwe tena humu jf kwa faida ya jf yenyewe
 
Ki ujumla awamu hii viongozi wengi ni wakurupukaji na watafuta kiki za muda mfupi.
Ndio unakuta mambo mengi yana ishia njiani tuuu. Tuwe wakweli kwenye Faru John serikali ilipigwa na haiwezi kufanya lolote
 
Kaka wamekataza kumjadili faru john basi ajadikiwe faru joseph au hata faru ally.
 
Yeye alifikiri mambo rahisi kihivyo,unions wenzio wamenyama nawe nyamaza lakini mambo ya kutafuta kiki za kijinga mbaya sana
 
Kuna makaburi tukiyafukua tutashindwa kuyafukia.

Sote tulipigwa marufuku kiaina kuhusu kulizungumzia suala la faru John eti kwa vile liko mikononi mwa waziri mkuu. Since then tumekuwa tukimsikilizia waziri mkuu afunge mjadala ila naye kala kimya.

Inaonekana kama amekula kona kiaina baada ya kuona maji yamezidi unga!
Hii imenifanya nijiulize iwapo PM naye amezidiwa nguvu na suala la faru John?
 
Faru John alitoweka kwa baraka za jumba jeupe, kuja kufufua mjadala wa faru John ilikuwa muendelezo wa kutuhadaa tu, JPM alisha wahakikishia kuwalinda na alitamka hadharani wastaafu wale wako salama, wameufunga mjadala walipo toa amri ya kuto hoji tena na ndio mwisho huo.
 
Hapa tunamjadili waziri mkuu, sio faru John!
Najuwa....ndio maana nikasema ajadiliwe faru joseph au ally....au umesahau katazo la mijadala ya faru John.....angalia usijiingize kwenye makosa ya utii bila shuruti.
 
Back
Top Bottom