Mkuu
MZIMU nahisi kuna nut ambazo hajikaza katika akili yako.
Wewe ndio wale wale mnaoanza kulalamikia matokeo kabla ya kujua chanzo cha tatizo.
Mfano: Kwanini wanafunzi wafeli mitihani. 1. Yawezekana hawakumwelewa mwalimu husika, 2. Mazingira ya shule yalichangia.
Mfano: Kwanini njaa imetokea mahali fulani? 1. Kulikuwa na uhaba wa mvua 2. Wahusika hawakukumbuka au kujihami kuweka akiba ya chakula.
All in all chanzo cha hayo yote ni ninyi wanaume.
Huyo mwanamke hatofanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mwanamke mwenzio bali mwanaume. Ina maana huyo mwanaume yeye anakuwa excluded kwa sababu ipi??
Mwanamke hawezi kujipa mimba mwenyeww, kapewa na wewe hapo ambaye ni mwanaume.
So angalia chanzo cha hayo yote!