Je Wanawake ni zaidi ya Binadamu?

Je Wanawake ni zaidi ya Binadamu?

MZIMU

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2011
Posts
4,058
Reaction score
1,377
Kwa Mwanamume yoyote asie wajua vizuri kina mama, Huishia kufilisika na kujinyonga ua kuua watoto wake, au Ndugu zake au watu wasio husika.

Kwanza kabisa, wanawake sio watu wa ahadi in the name of Love. Wanaume wengi sana wanahangaikia kinamama kwa lengo la Mapenzi. Wako tayari kufanya lolote ili wawaridhishe wapenzi wao ili waweze kuinjoi tendo la ndoa na kupata familia. Kwa upande wao kinamama wanaangalia zaidi LIFE SECURITY. Mara nyinyi sana ni wepesi kusahau au na kutokutii ahadi yoyote waliowekeana na wapenzi wao mara wapatapo fursa nzuri zaidi ya LIFE SECURITY.


Mfano:-

a). Hubeba mimba miezi tisa halafu wanamuua mtoto kwa kumtupa chooni au kumnyonga.

b). Wote waliosomesha wapenzi wao kwa gharama na wengine kwa kujinyima sana, mwisho wa yote walimwagwa wakabaki maskini.

c). Sio jambo la ajabu kunywa sumu na kuwapa sumu wanae.

d). Sio ajabu kufanya umalaya ili kumkumoa Mzazi wake au Mpenzi wake wa zamani.

e). Huweza kutongozwa leo bila kupanga na kufanya mapenzi na mtu asie mjua leoleo kwa sababu ameweza kumsifia vizuri na vigezo vya LIFE SECURITY. Ingawa huyo mtu hatamuona tena

e) Mwili wake ni silaha ya Maangamizi kwa mtu yoyote anapozidiwa katika kupata mahitaji yake. Mfano Ajira, Elimu na hata katika kukwepa mkono wa sheria.

g). Wengi wao hupenda kuwanyonya wanaume katika matumizi ya kimaisha. Wanaita chuna buzi.

h). Huchukua Maamuzi magumu kwa haraka na hupata matokea mabaya sana na kubaki kujuta. Mfano Akiwa na hasira huweza hata kuvua nguo zake akatembea uchi au kupigana na mtu asie Muweza kabisa.

Kwa Muktadha huo ndio tunasema kua. Wanawake ni zaidi ya Binadamu, kwa Maana huwa na sifa ambazo sio za kibadamu wa kawaida yaani Wanaume.


etc. Wadau mnaweza kuendeleza
 
Mtoa mada research yako imejaa uongo!!

Unaposema wanawake wanaweza kufanya mapenzi na MTU wasiyemfahamu,je hao watu wanaofanya nao mapenzi sio wanaume?na kama ni wanaume inakuwaje uwasimange wanawake peke yao?

Halafu hapo kwenye kunywa sumu mbona wanaume ndo mnaongoza kunywa sumu na kujinyonga?

Halafu hizo mimba wanazobeba miezi Tisa ni nani anawabebesha kama si wanaume na baadae kuwatelekeza??unapomtelekeza mwanamke na mimba halafu akiua mtoto unadhani mwanaume aliyesababisha ye ndo atakuwa msafii???

Halafu kuhusu kusomesha na kumwagwa mbona hata wanawake wanamwagwa baada ya kuwatendea wem a wanaume?

Kweli nimeamini kunya anye KUKU,akinya bata kaharisha!!
 
Huna lolote sema umemwagwa umekuja kulia hapa. Mapenzi wanafanya watu wawili mwanaume na mwanamke. Unalialia hapa kisa tu mama yako, shangazi yako, mke wako, binti yako, ma mdogo wako na dada zako wamekukosea. Ongea nao watabadilika tu.
 
Huna lolote sema umemwagwa umekuja kulia hapa. Mapenzi wanafanya watu wawili mwanaume na mwanamke. Unalialia hapa kisa tu mama yako, shangazi yako, mke wako, binti yako, ma mdogo wako na dada zako wamekukosea. Ongea nao watabadilika tu.

Hiyo ndio hatari yenyewe sasa!. Mimi nawakilisha ukweli ulivyo.
 
Sawa tumeskia tajeni na mema yetu..

Haiwi baya moja kuficha mema elfu moja
 
women are nothing but a machine for producing children, we ushaona wapi nyumba inayoongozwa na mwanamke inaeleweka.
Hata kama mama ako alkukosea jinfunze basi hata kwa jiran! Baba ni kichwa, mama kiwiliwili na kisipokuwepo, kichwa hakina thamani tena. ANGALIZO: wazazi ni miungu wa hapa duniani, be careful wth da way u talk about them, laana nyngne unaeza zitafuta mwnyewe!
 
Hata kama mama ako alkukosea jinfunze basi hata kwa jiran! Baba ni kichwa, mama kiwiliwili na kisipokuwepo, kichwa hakina thamani tena. ANGALIZO: wazazi ni miungu wa hapa duniani, be careful wth da way u talk about them, laana nyngne unaeza zitafuta mwnyewe!

Kama avatar yake inavyosomeka kweli yeye MZIMU
 
Last edited by a moderator:
Any body who think that biological diferences are only what can distinguish a woma from a man is in total eclipses
 
Kwa Mwanamume yoyote asie wajua vizuri kina mama, Huishia kufilisika na kujinyonga ua kuua watoto wake, au Ndugu zake au watu wasio husika.

Kwanza kabisa, wanawake sio watu wa ahadi in the name of Love. Wanaume wengi sana wanahangaikia kinamama kwa lengo la Mapenzi. Wako tayari kufanya lolote ili wawaridhishe wapenzi wao ili waweze kuinjoi tendo la ndoa na kupata familia. Kwa upande wao kinamama wanaangalia zaidi LIFE SECURITY. Mara nyinyi sana ni wepesi kusahau au kutii ahadi yoyote waliowekeana na wapenzi wao mara wapatapo fursa nzuri zaidi ya LIFE SECURITY.


Mfano:-

a). Hubeba mimba miezi tisa halafu wanamuua mtoto kwa kumtupa chooni au kumnyonga.

b). Wote waliosomesha wapenzi wao kwa gharama na wengine kwa kujinyima sana, mwisho wa yote walimwagwa wakabaki maskini.

c). Sio jambo la ajabu kunywa sumu na kuwapa sumu wanae.

d). Sio ajabu kufanya umalaya ili kumkumoa Mzazi wake au Mpenzi wake wa zamani.

e). Huweza kutongozwa leo bila kupanga na kufanya mapenzi na mtu asie mjua leoleo kwa sababu ameweza kumsifia vizuri na vigezo vya LIFE SECURITY. Ingawa huyo mtu hatamuona tena

e) Mwili wake ni silaha ya Maangamizi kwa mtu yoyote anapozidiwa katika kupata mahitaji yake. Mfano Ajira, Elimu na hata katika kukwepa mkono wa sheria.

g). Wengi wao hupenda kuwanyonya wanaume katika matumizi ya kimaisha. Wanaita chuna buzi.

h). Huchukua Maamuzi magumu kwa haraka na hupata matokea mabaya sana na kubaki kujuta. Mfano Akiwa na hasira huweza hata kuvua nguo zake akatembea uchi au kupigana na mtu asie Muweza kabisa.

Kwa Muktadha huo ndio tunasema kua. Wanawake ni zaidi ya Binadamu, kwa Maana huwa na sifa ambazo sio za kibadamu wa kawaida yaani Wanaume.


etc. Wadau mnaweza kuendeleza
Kwa hivyo unataka kutulisha kuwa wanaume ni kinyume na hayo?
 
Kama avatar yake inavyosomeka kweli yeye MZIMU

i). Kama ukitembela Mahosipiatali yote na Maofisi yote nchini, Manesi na secretary wa kike wote tabia zao zinafanana. Wao kila dakika wanahasira tu. Huwezi kumuuliza kitu akakujibu vizuri labda kwanza uanze na Dada umependeza wewe, Kama Miss world. Na ushahidi juu ya hilo, wao wenyewe hawapendi kuhudumiwa na wanawake wenzao mahospitalini, hata kuzalishwa wanapenda kuzalishwa na Madaktari wanaume.
 
i). Kama ukitembela Mahosipiatali yote na Maofisi yote nchini, Manesi na secretary wa kike wote tabia zao zinafanana. Wao kila dakika wanahasira tu. Huwezi kumuuliza kitu akakujibu vizuri labda kwanza uanze na Dada umependeza wewe. Kama Miss world. Na ushahidi juu ya hilo, wao wenyewe hawapendi kuhudumiwa na wanawake wenzao mahospitalini, hata kuzalishwa wanapenda kuzalishwa na Madaktari wanaume.

Umerusha jiwe gizani sasa jiandae kupokea madongo Mkuu mi cmo.
 
missa asante sana nakushukuru mno!
Mtoa mada research yako imejaa uongo!!

Unaposema wanawake wanaweza kufanya mapenzi na MTU wasiyemfahamu,je hao watu wanaofanya nao mapenzi sio wanaume?na kama ni wanaume inakuwaje uwasimange wanawake peke yao?

Halafu hapo kwenye kunywa sumu mbona wanaume ndo mnaongoza kunywa sumu na kujinyonga?

Halafu hizo mimba wanazobeba miezi Tisa ni nani anawabebesha kama si wanaume na baadae kuwatelekeza??unapomtelekeza mwanamke na mimba halafu akiua mtoto unadhani mwanaume aliyesababisha ye ndo atakuwa msafii???

Halafu kuhusu kusomesha na kumwagwa mbona hata wanawake wanamwagwa baada ya kuwatendea wem a wanaume?

Kweli nimeamini kunya anye KUKU,akinya bata kaharisha!!
 
Last edited by a moderator:
MZIMU unaenda astray sana msome missa,kama mwanaume huyo ambaye ni binadamu wa kawaida anaweza kukubaliana na mwanamke ambaye si wa kawaida na kufanya naye mapenzi mara ya kwanza tunamuweka kwenye kundi gani? au yeye sio kosa lake kasababishwa na mwanamke?tuseme nini kuhusu wale wanaume ambao ni mijitu mizima kabisa inavirubuni vitoto vya darasa la tano? tusemeje mibaba ambayo inaamua kubaka watoto wao wa kuwazaa? tuseme nini kuhusu wanaume wanaotekeleza familia zao? tuseme nini kuhusu wanaume ambao kutwa ni wao na pombe ada ya watoto hajui wala watoto wanakula nini?kazi nzuri anayo ila mke anaishia kuuza nyanya kukidhi mahitaji ya familia? guy don't be too negative on a single gender ukweli ni kwamba kila jinsia ina matatizo yake na mazuri yake hakuna jinsia iliyo na mema kuliko nyingine wote wanawake kwa wanaume tuna mabaya na mazuri yetu lakini sio kuanza kusema jinsia hii sio binadamu wa kawaida nani kasema wapi pameandikwa hivyo?stop being discriminative wanawake hawajakamilia kama wanaume tu na hivyo wao pia wanakosea wakati mwingine!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom