Hivi wanafunzi wa primary/secondary skuli wanaweza kuingia darasani wangali wajawazito? badala ya kufukuzwa kama ilivyosasa,kwani ni haki yao ya msingi kupata elimu.
Vijana wengi walio katika mahusiano ya kimapenzi hawajui hali ya wenziwao katika mahusiano hayo. wengi katika mahusiano ya kimapenzi huanza kufanya mapenzi salama, lakini baadae kuacha kutumia kinga baada ya kuzoeana,hapo ndipo wanakuwa katika hatari ya kupata mimba na magonjwa mengine ya zinaa.
Na hapo ndio huwa ngumu kwa wapenzi hao kuenda kupima hali zao.
Vijana wengi walio katika mahusiano ya kimapenzi hawajui hali ya wenziwao katika mahusiano hayo. wengi katika mahusiano ya kimapenzi huanza kufanya mapenzi salama, lakini baadae kuacha kutumia kinga baada ya kuzoeana,hapo ndipo wanakuwa katika hatari ya kupata mimba na magonjwa mengine ya zinaa.
Na hapo ndio huwa ngumu kwa wapenzi hao kuenda kupima hali zao.