The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 4,780
- 8,155
Je wamjua Adui yako .
Kumbuka Wewe ni roho.
Roho haifi ,inaishi milele yote ,
Adui yako ni Mwili na Nafsi.
Mwili na Nafsi ni marafiki.
Mwili na Nafsi huenda kinyume na roho inavyotaka.
Mwili unapenda majivuno,mwili unapenda kula ili ushibe,mwili hupenda ubinafsi na vyote vya mwilini,mwili unapenda uoe mke mzuuri,mwili unapenda sifa na vyoote vile vya kimwili.
Hivyo Adui yako sio shetani ,Wala mizimu,kama wengi wanavyodhani.
Kumbuka Wewe ni roho.
Roho haifi ,inaishi milele yote ,
Adui yako ni Mwili na Nafsi.
Mwili na Nafsi ni marafiki.
Mwili na Nafsi huenda kinyume na roho inavyotaka.
Mwili unapenda majivuno,mwili unapenda kula ili ushibe,mwili hupenda ubinafsi na vyote vya mwilini,mwili unapenda uoe mke mzuuri,mwili unapenda sifa na vyoote vile vya kimwili.
Hivyo Adui yako sio shetani ,Wala mizimu,kama wengi wanavyodhani.