Hakuna alie ugua kati yao mkuu.
Robin Williams alifariki kutokana na matatizo ya kimahusiano, matumizi ya madawa ya kulevya, msongo wa mawazo na kufilisikia. Hii ilipelekea akaamua kujinyonga.
Assi Dayan huyu alikufa kutokana na matumizi makubwa ya madawa ya kulevya.