Maguge Maguge
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 2,734
- 1,778
Habari za jumapili ndugu zangu!
Nina wiki sasa nikitafakari nilichokiona, kukifanyia utafiti kwa uhakiki na kukithibitisha.
Wakimbizi toka Burundi, walioko kambi za Mishamo na Katumba wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi walipewa uraia kabla ya uchaguzi, na hivyo kupata haki kuitwa watanzania, na walishiriki hata kupiga kura uchaguzi mkuu uliopita.
Kilichonishangaza ni pale ambapo, vyeti vya uraia, penye box la kabila walijaziwa kabila la Muha!
Je hii ni sawa?
Nina wiki sasa nikitafakari nilichokiona, kukifanyia utafiti kwa uhakiki na kukithibitisha.
Wakimbizi toka Burundi, walioko kambi za Mishamo na Katumba wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi walipewa uraia kabla ya uchaguzi, na hivyo kupata haki kuitwa watanzania, na walishiriki hata kupiga kura uchaguzi mkuu uliopita.
Kilichonishangaza ni pale ambapo, vyeti vya uraia, penye box la kabila walijaziwa kabila la Muha!
Je hii ni sawa?