hii tamuJe wajua kuwa Impalla 50-100 majike yanaudumiwa na dume moja tu!
ingne hii.je wajua kuwa njiwa huatamia mayai kwa kushirikiana? Yan nina maana jike akiatamia akitoka anamuachia dume aendele na zoez hlo.na ndo maana kuna watu husikika wakisema"fulan na fulan wana mapenz kama ya njiwa"