chambimagaka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2017
- 288
- 338
*Uchawii sio kushika Tunguli tu na kwenda kuwanga..........*
*Kukaa online bila hata salam nayo ni UCHAWII*
*Kusoma msg za watu wanavyochat na Profile nao ni UCHAWII*
*Kukenua mpka jino la mwsho kwa msg za kuchekesh na uc comment nao ni UCHAWII*
*Kujaza wingi kwa Group kila link unayoona wakat hijawah kupost hata hewa uo nao ni UCHAWII*
*Kukaa kimya mda wote wakat upo online ukafikiri una mkomoa Admn wakat bando ni lako uo nao ni UCHAWII*
*Ongezaa uchawii mwingine unaoujua...........*
.
.
.
.
.
.
*Kukaa online bila hata salam nayo ni UCHAWII*
*Kusoma msg za watu wanavyochat na Profile nao ni UCHAWII*
*Kukenua mpka jino la mwsho kwa msg za kuchekesh na uc comment nao ni UCHAWII*
*Kujaza wingi kwa Group kila link unayoona wakat hijawah kupost hata hewa uo nao ni UCHAWII*
*Kukaa kimya mda wote wakat upo online ukafikiri una mkomoa Admn wakat bando ni lako uo nao ni UCHAWII*
*Ongezaa uchawii mwingine unaoujua...........*
.
.
.
.
.
.