Je wajua mnamo mwaka 1976 gonjwa la EBOLA lilisikika kwa mara ya kwanza barani Afrika wahanga ikiwemo nchi mbili za afrika - SUDAN na DRC karibu na mto Ebola(uliopo DRC), ambapo ikawa chanzo cha gonjwa hilo kuitwa Ebola kutokana na jina la mto EBOLA
Gonjwa hilo lilifumuka kwa wakati mmoja/kwa mkupuo kwa nchi hizo mbili tajwa hapo juu