Sema kutokea kwa ulimwengu maana ukisema kuumbwa kwa ulimwengu inamaanisha una-refer vitabu vya dini ambavyo kwa mujibu wake vinadai ulimwengu una miaka 6,000 tu
Je mwajuwa sehemu ya nje ya Jino ndo sehemu ngumu zaid kuliko zote katka mwili binadamu?
Na kwamba kila jino lina movement,yaani lina cheza mbele-nyuma,kulia-kushoto na juu - chini.