Je Wajua Kwamba CCM wanapambana kwa nguvu zote utabiri wa Shekh yahya usitimie?

Je Wajua Kwamba CCM wanapambana kwa nguvu zote utabiri wa Shekh yahya usitimie?

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
8,550
Reaction score
20,342
GT
Jamani huwezi kupambana na nature. maCCM nawaonea huruma. Mnaumwa halafu hamtaki kumwona daktari.

Hii nguvu mnayotumia kwa sasa kupambana na upinzani haijwahi kutokea Lakini pia mwamko wa watanzania kuwakataa ninyi upo katika kiwango cha juu mno katika historia ya Tanzania.

Je mtaweza au ndo mnaenda kufa kibudu? aha 😄 🤣 😂 yetu macho na masikio.
Tukutane leo saa2 usiku the 21st to remenber

20250122_143713.jpg
 
Back
Top Bottom