mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,049
- 4,904
Wakuu, katika kosa ambalo wafanya biashara wengi wanafanya Ni masuala ya kukopesha, kwenye biashara usimwangalie mtu usoni hata akilia machozi ya damu kwani mtu huyo huyo anayekulilia Leo ndio huyo huyo atakayekuona Kama condom iliyotumika siku za usoni.
Nasema hata kwa wauza dawa amekuja mtu anaumwa kiac Cha kukata Moto mwambie lete noti Kwanza, usimwamini mtu!
Kama unataka utoke barabarani mapema kupesha uone!!
Nasema hata kwa wauza dawa amekuja mtu anaumwa kiac Cha kukata Moto mwambie lete noti Kwanza, usimwamini mtu!
Kama unataka utoke barabarani mapema kupesha uone!!