Ginner
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 1,459
- 1,832
Taarifa zinazozidi kutamba katika vyombo vya habari mbali mbali nchini na vya kimataifa kuhusu kifo cha osama bin laden kilichokea usiku wa kuamkia jumatatu ya tar 2 katika jiji tulivu la Abbotabad nchi Pakistan katika operation maalum ya makomandoo wa kimarekani ....kutokana na tafakari za watu mbali mbali,wanaharakati wa chama cha upinzani cha marekani republican..wanazuoni wamaswala ya kisiasa.kijamii na kiitelegensia..inaonesha kuna uwezekano mkubwa kwamba Gaidi namba moja duniani Osama Bin Laden huenda akawa Hai chini ya ulizi mkali ya vikosi vya usalama vya marekani...
Sababu zifatazo ndipo zilizopelekea hitimisho la kuwapo hai kwa osama....kwanza ni kutoka kwa mashahidi waliokuwapo katika kasri ile siku ya tukio...mtoto wa osama alikaririwa akisema baba ake (alikamatwa akiwa hai) na baada ya apo wakampiga risasi na kufa...kunauwezekano makomandoo hao wakawa wamefaki kitendo cha kumpiga risasi ili mtoto huyo adanganyike na kushuhudia kifo cha baba ake kwa waandishi
Pili...kitendo cha kumzika kwa haraka tena baharini ni jambo linalotiliwa sana shaka..kitendo hiki kimefanyika ili kuwafunga mdomo wanaharakati watakaotaka kuuona mwili wa Osama ukiwa kaburini...pamoja na wao wamerekani wakidai wamemzika baharini ili kaburi lake lisitumike kama eneo la kuabudia kwa wafuasi wake
Tatu...kitendo cha ikulu ya marekani kusita kutoa picha za tukiolilo husika katika kumkamata kwa osama,,,,picha izi zimekuwa gumzo na siri kubwa katika serikali ya marekan...kuna uwezekano mkubwa kwamba picha izo zikawa zinaonesha kuwa osama amekamatwa hai na hakuuwawa kaka ripoti za ikulu zilivo tamka apo awali..ivyo kitendo cha kuzitoa picha izo zingepingana kwa kiasi kikubwa na taarifa za awali za serikali ya martekani.
Na jambo la mwisho......kukamatwa kwa osama akiwa hai kulikuwa na advantage kubwa kuliko kikutwa akiwa amekufa kwani wangemtumia kupata taarifa nyingi za mashambulio ambayo yangeweza kutokea katika mipango ya al qaeda....
Hivyo basi kunauwezekano mkubwa sana osama akawa hai ila katika ulinzi mkail ya vikosi wa kimarekani akihojiwa ili kupata taarifa mbali mbali juu ya matukio ya kigaidi yaliyopangwa kutokea...
Je ni kwann wamerekani wanataka kuujulisha ulimwengu kuwa Osama kafariki........
Jawabu ni hili....endapo ingetambulika kuwa osama amekamatwa mateka na wamerekani....bac wafuasi wake ambao ni zaidi ya maelfu duniani kote wangeweza kuwateka watu mashuuri wamarekani na kuahidi kuwazika wakiwa hai au wamwachie Osama....hivyo izo ndo sababu zinazofanya waamerika wazuge kama adui yao amekufa ili watu waipotezee na habari yake iishie hapo...nini maoni yako....!!!!!!
Sababu zifatazo ndipo zilizopelekea hitimisho la kuwapo hai kwa osama....kwanza ni kutoka kwa mashahidi waliokuwapo katika kasri ile siku ya tukio...mtoto wa osama alikaririwa akisema baba ake (alikamatwa akiwa hai) na baada ya apo wakampiga risasi na kufa...kunauwezekano makomandoo hao wakawa wamefaki kitendo cha kumpiga risasi ili mtoto huyo adanganyike na kushuhudia kifo cha baba ake kwa waandishi
Pili...kitendo cha kumzika kwa haraka tena baharini ni jambo linalotiliwa sana shaka..kitendo hiki kimefanyika ili kuwafunga mdomo wanaharakati watakaotaka kuuona mwili wa Osama ukiwa kaburini...pamoja na wao wamerekani wakidai wamemzika baharini ili kaburi lake lisitumike kama eneo la kuabudia kwa wafuasi wake
Tatu...kitendo cha ikulu ya marekani kusita kutoa picha za tukiolilo husika katika kumkamata kwa osama,,,,picha izi zimekuwa gumzo na siri kubwa katika serikali ya marekan...kuna uwezekano mkubwa kwamba picha izo zikawa zinaonesha kuwa osama amekamatwa hai na hakuuwawa kaka ripoti za ikulu zilivo tamka apo awali..ivyo kitendo cha kuzitoa picha izo zingepingana kwa kiasi kikubwa na taarifa za awali za serikali ya martekani.
Na jambo la mwisho......kukamatwa kwa osama akiwa hai kulikuwa na advantage kubwa kuliko kikutwa akiwa amekufa kwani wangemtumia kupata taarifa nyingi za mashambulio ambayo yangeweza kutokea katika mipango ya al qaeda....
Hivyo basi kunauwezekano mkubwa sana osama akawa hai ila katika ulinzi mkail ya vikosi wa kimarekani akihojiwa ili kupata taarifa mbali mbali juu ya matukio ya kigaidi yaliyopangwa kutokea...
Je ni kwann wamerekani wanataka kuujulisha ulimwengu kuwa Osama kafariki........
Jawabu ni hili....endapo ingetambulika kuwa osama amekamatwa mateka na wamerekani....bac wafuasi wake ambao ni zaidi ya maelfu duniani kote wangeweza kuwateka watu mashuuri wamarekani na kuahidi kuwazika wakiwa hai au wamwachie Osama....hivyo izo ndo sababu zinazofanya waamerika wazuge kama adui yao amekufa ili watu waipotezee na habari yake iishie hapo...nini maoni yako....!!!!!!