DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 2,385
- 1,566
Senegal ni waziri sana, ukitoa hizi nchi za Kiarabu Nigeria, Ivory Coast na Senegal wanatutoa kimaso maso
Kwani nchi za kiarabu hawawezi kututoa kimasomaso!! Tena ni wazuri zaidi ya hao wengine. I know hawatatuangusha