Nature
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 758
- 2,027
Inaonakana kama Vile .....
Maandalizi yamekamilika kwa Asilimia 95% kilichobaki ni Muda kufika na Michuano kuanza lakini inaonekana kama Vyombo vya habari viko kimya Sana Hasa zikiwa Zimesalia Siku 100 Kombe la dunia Kuanza...
Miaka ya Nyuma ilikuwa ikifikia Hatua kama Hii unakuta Vyombo vikubwa vya habari za Kimichezo kama Vile SKY, FOX, BBC, MSNBC, na ITV ni Matangazo kila saa na Promotion mbalimbali Mfano Kule South Africa, Na Mwaka 2014 kule Brazil....
Ila Awamu Hii inaonekana kama Kuna Ubaguzi vile yaani Pamoja na kuwa ni Mwaka wa World Cup lakini hata Michuano ya EUROPA LEAGUE inatangazwa kuliko World Cup ...
Au wanaona kwamba kuipa Promo World Cup awamu hii ni Kama kuitangaza sana Urusi kwa Dunia???
Sababu Ni Nini?
Mbona Kama Siasa Inaingizwa Michezoni??
World Cup Iko kwa Maslahi ya nani?
Maandalizi yamekamilika kwa Asilimia 95% kilichobaki ni Muda kufika na Michuano kuanza lakini inaonekana kama Vyombo vya habari viko kimya Sana Hasa zikiwa Zimesalia Siku 100 Kombe la dunia Kuanza...
Miaka ya Nyuma ilikuwa ikifikia Hatua kama Hii unakuta Vyombo vikubwa vya habari za Kimichezo kama Vile SKY, FOX, BBC, MSNBC, na ITV ni Matangazo kila saa na Promotion mbalimbali Mfano Kule South Africa, Na Mwaka 2014 kule Brazil....
Ila Awamu Hii inaonekana kama Kuna Ubaguzi vile yaani Pamoja na kuwa ni Mwaka wa World Cup lakini hata Michuano ya EUROPA LEAGUE inatangazwa kuliko World Cup ...
Au wanaona kwamba kuipa Promo World Cup awamu hii ni Kama kuitangaza sana Urusi kwa Dunia???
Sababu Ni Nini?
Mbona Kama Siasa Inaingizwa Michezoni??
World Cup Iko kwa Maslahi ya nani?