Je, vijana wa CHADEMA wamechoka au kuna mgomo baridi?

Mtulia anakubalika Kinondoni hiyo ni fact...sasa ili atekeleze sera zake smoothly akaamua kujiunga kwenye chama dola...na hii ni kwa sababu chadema ya sasa haitaki wabunge wake washiriki maendeleo.
Kwani mtulia alikuwa chadema?
 
Wakazi wa kinondoni wanasema jimbo la kinondoni ni la cuf tu chadema wamekuja kumuhalibia cuf ushindi wake

hata hivyo inasemekana kuna vikao vya siri vimefanyika magomeni katika ofisi mpya ya maalim seif

Katibu mkuu wa cuf maalim seif pamoja na mwenyekiti wa facebook tawi la CUFmtandaoni julias mtatiro walikutana na viongozi wa chadema akiwemo Mbowe

Inasemekana chadema baada ya kuona hali ni tete katika jimbo la kinondoni wanapata upinzani mkali kutoka kambi ya lipumba wameamua kutoa mpunga kinyemela na kuwakabidhi timu seif ili wawaunge mkono kwa kupeperusha bendera za cuf katika mikutano ya chadema na kumnadi ya kwamba huyu ndio mgombea wa ukawa

Baaada ya CUF lipumba kutonywa kuhusu hiyo isue nategemea kuona mnyukano mkali wa kareti na judo katika jimbo la Kinondoni.
 
Katimize majukumu yako wewe! Au kwa vile wewe na bosi wako HM hamjui mnafanya nini hapo basi mnaenda hovyo tuu?
Mnadhani kazi ya hapo ni kudeal na vimini tuu?
Chadema hali Mbaya
na mtapigwa majimbo yote hayo
Utaniambia
 
Chagadema hali Mbaya
na mtapigwa majimbo yote hayo
Utaniambia
Kupigwa labda iwe mapanga na mabomu lakini kura hilo huwa halipo. Kama mnahakika na hilo hayo mabasi ya UDA yanayowaleta mikutanoni watu wa Bagamoyo ya nini? Maana hao hawapigi kura hivyo haiwasaidii labda katika kujenga mazingira ya kuiba tuu
 
Mtulia anakubalika Kinondoni hiyo ni fact...sasa ili atekeleze sera zake smoothly akaamua kujiunga kwenye chama dola...na hii ni kwa sababu chadema ya sasa haitaki wabunge wake washiriki maendeleo.

hahahaha, huijui kinondoni kaa kimya, eti Mtulia anakubalika Kinondoni..
Mtulia aliweza kuwa mbunge kupitia upepo wa ukawa tofauti na hapo hakuna aliyemjua Mtulia Kinondoni, kifupi ni kwa sababu utaratibu ulisema jimbo wapewe CUF. Miaka yake miwili kama Mbunge wa kinondoni ameifanyia nini kinondoni?, maana uzuri tunaweza kumpima kwa kuwa kiongozi kabla kinondoni..
 
MsemajiUkweli ulicho ongea ni ukweli ulio dhahiri, kuna kila dalili ya kukata tamaa na baadhi yao wameshakubali matokeo kuwa wamedondoka jimbo la Kinondoni. Mkutano wa ufunguzi wa kampeni wikendi iliyopita umetoa taswira kubwa.

Binafsi zaidi ya kuona video ya Lowasa ambayo imetumika kama dhihaka sijaona picha za mkutano wa ufunguzi wa CDM. Kawaida ya CDM picha ya tukio lake kubwa lazima itapewa promo kubwa JF na whatapp zitazunguka sana. Kama hali ita endelea hivi ni ishara ya wazi ya baadhi ya wanazi kukata tamaa na wameshakubali kushindwa.

Mbaya zaidi, CDM wakipoteza haya majimbo itaharibu sana hamasa na saikolojia ya “ makamanda “, bila shaka na migogoro ya ndani itazidi kufukuta sababu lawama zitaongezeka za nini na nani ni tatizo, muda ndio jibu, ila huu unaweza kuwa mwaka mgumu zaidi wa CDM zaidi ya 2017 aliyousema Mbowe.
 
Mkuu;

Hoja yangu ya msingi ni mabadiliko hasi katika rneo la uhamasishaji la CHADEMA.

Kipindi cha nyuma walikuwa active kwenye mitandao ya kijamii lakkni kwa sasa hawaonekani.

Kimetokea nini?
 
Ma CCM yana mawazo ya kijinga kama kama jingalao
 
Baba jesca anawaita ng'ombe waliokatika mikia, mtulia amekatika mkia na bado ameteuliwa kuwa mgombea, yaani yuleyule aliyegombea 2015 amekuja kivingine, sasa sijui ana jipya lipi, maana nilimsikia neno moja, AMECHUMPA, sasa amechumpa ametua kwa mikono au makalio, ngoja tusubiri matokeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…