youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
laana ni wewe unamtia mtu bila kondomu afu unashangaa yeye kubeba mimba .....kwanini ulale nao kama hutaki kuitwa baba
Sorry! Hiyo mimba wanapewa na nani?
laana ni wewe unamtia mtu bila kondomu afu unashangaa yeye kubeba mimba .....kwanini ulale nao kama hutaki kuitwa baba
mm nakutafuta ww ili tule raha ya siku moja au mbili.. Ww ndio unazijua siku zako za hatar, ww ndio unajijua upo ktk wakat gani aidha kimasomo au kwenye ndoa.
Kwann unaniletea siku ambazo unajua ni za hatar?
Suala la kondom %kubwa ya wanawake ndio wanazikataa.
Sasa mm nifanyeje mkuu.
Ukisema kukojolea nje, ni rahisi sana kutoka dar mpaka dodoma kwa mguu lakn sio kukojolea nje
ha ha ha unalala nae kuenjoy kwa agreement ipi????
ulipomtongoza hukumwambia ni nyt stand or just for fun or tuna future
unampenda yeye kajiachia kubebe mimba ili mpendane zaid,,,umekaa nae six month kwa wiiki unapeleka gegdo mara kadhaa yy asipate mimba atkuwa tasa labda
tongozeni na muwe na open relationship
like sio future,nyt stand,just for fun hiyo sex
ha ha ha unalala nae kuenjoy kwa agreement ipi????
ulipomtongoza hukumwambia ni nyt stand or just for fun or tuna future
unampenda yeye kajiachia kubebe mimba ili mpendane zaid,,,umekaa nae six month kwa wiiki unapeleka gegdo mara kadhaa yy asipate mimba atkuwa tasa labda
tongozeni na muwe na open relationship
like sio future,nyt stand,just for fun hiyo sex
mkuu ICHANA hivi leo mm nmekutongoza na sijakutamkia ndoa iweje ujiweke waz mpaka kupata mimba?
Sio kila mahusiano mwisho wake ni ndoa mengne ni kuburudishana tu, nafkir unalijua fika hilo ila unaleta ubishi kidogo
laana ni wewe unamtia mtu bila kondomu afu unashangaa yeye kubeba mimba .....kwanini ulale nao kama hutaki kuitwa baba
ha ha ha ha hili nalijua na sitegemei lazima mahusiano yawe ya ndoa .......
wengi wenu mnatoa ahadi hewa ndo mana wanaamua kuwabebea mimba zenu bila kupanga
ukimwambia tutumie condoms anakwambia ohhh, ntachelewa kufika.
Basi tufate kalenda, mnakubaliana. Anakuja siku za hatari anakwambia ntamwagia nje, nawe unakubali kishingo upande maskini ya Mungu.
Kesho, kesho kutwa mambo yamejibu anajifanya sikupanga.
Nya.mbaff zao kabisa hivi vifulana.
A real gentleman anastick kwa akitakacho na hata kwenye matatizo atasimama kutetea maamuzi yake.
ukimwambia tutumie condoms anakwambia ohhh, ntachelewa kufika.
Basi tufate kalenda, mnakubaliana. Anakuja siku za hatari anakwambia ntamwagia nje, nawe unakubali kishingo upande maskini ya Mungu.
Kesho, kesho kutwa mambo yamejibu anajifanya sikupanga.
Nya.mbaff zao kabisa hivi vifulana.
A real gentleman anastick kwa akitakacho na hata kwenye matatizo atasimama kutetea maamuzi yake.
naona watu mnaenda nje ya mada......kama kichwa cha habari kinavyosema kutoa mimba ndiyo suluhisho....?....kwahiyo tujadili hilo.....