PLL
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 882
- 400
Habari zenu wapendwa wana JF,ni matumaini yangu mko salama na mkifurahia kua weekend imeeanza na wapendaji nyama choma wakijiandaa kwa kesho,ila mvua isilete habari zake..itakwaza wengi..
Nina swali kwa wanaume swali hili linaweza kwenda kwa wanawake pia japo nahisi nimeshapata jibu lao kabla sijajibiwa.
Ikiwa we ni mwanaume na unaona umri wako wa kuoa umefika na umejpanga kwa hilo utamuoa mtu unaempenda sana au yeye anakupenda sana?
Najua kabla hamjaoa hua mnakaa chini na kufanya maamuz ya busara,maana naaminigi kua mwanaume hakurupukagi kuoa,sas ikiwa wew n mwanaume utamuoa mwanamke anaekupenda sana na unajua anakupenda sana,au utamuoa mwanamke ambaye we ndo unampenda sana kuliko yey akupendavyo na unajua hilo?ningependa kusikia toka kwenu
Kwa wanawake najua jibu lenu ni kuolewa na anaekupenda sana
Nina swali kwa wanaume swali hili linaweza kwenda kwa wanawake pia japo nahisi nimeshapata jibu lao kabla sijajibiwa.
Ikiwa we ni mwanaume na unaona umri wako wa kuoa umefika na umejpanga kwa hilo utamuoa mtu unaempenda sana au yeye anakupenda sana?
Najua kabla hamjaoa hua mnakaa chini na kufanya maamuz ya busara,maana naaminigi kua mwanaume hakurupukagi kuoa,sas ikiwa wew n mwanaume utamuoa mwanamke anaekupenda sana na unajua anakupenda sana,au utamuoa mwanamke ambaye we ndo unampenda sana kuliko yey akupendavyo na unajua hilo?ningependa kusikia toka kwenu
Kwa wanawake najua jibu lenu ni kuolewa na anaekupenda sana