marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,635
- 3,655
Last edited by a moderator:
'kwako wewe msiri, usogawa hovyo mbegu zako'
usogawa hovyo mbegu zako,
mkulima hodari utunzaye jembe lako.
Sio kila siku zinatupwa kwenye kile kimpira..lol
Me like that..uwe the guy sticked to just single lady
'kwako wewe msiri, usogawa hovyo mbegu zako'
Naona umekuja na mistari, nimefurahi kuona muandiko wako. Mzima?
one way of releasing tension is by doing strange activity but which is funny to you.
wangu wa moyoni, shaka ondoa juu yangu
hufu yako mwandani, yaumiza mtima wangu,
nakupenda mwandani, kijana wa rika langu
kaa chini utulie,mie ndo wako msiri.
snowhite na Kongosho, wote wanajua mpenzi,
hata boss na Asprin jinsi nilivyodata kwako,
muulize cacico, ninavyopagawa juu yako
kaa chini utulie, mie ndo wako msiri.
najua hakika moyo wangu u radhi
asilan sikuachi, hata wanisute kama Bishanga.
najua lara 1 anajipanga, tubanane hapo hapo
nami namuhakikishia, atachuma mabichi hili kavu hapati.
kijana mzuri uliyeumbika, ufaaye ka mambo yote,
ujuaye kupanda na hata kushuka pia,
kwako wewe msiri, usogawa hovyo mbegu zako,
mkulima hodari utunzaye jembe lako.