Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,051
- 462
Ukiwa ghetto umelala na masela usiku unashtushwa na ubaridi pamoja na unyevunyevu kwene TIGO,unaamka lkn ulipoangaza unakuta kila mtu yuko bize na usingizi tena wanakoroma kwa saaana tuu..unaamua kufuta na kulala lkn unatega,kesho yake mpo kijiweni unaongoza kijiwe kama kawa yako from nowhere kanatokea kadogo fulani kanaanza kusumbua unakaambia ntakutia mateke wewe?Bila wasiwasi dogo anasema unajifanya mjanja mchana lkn usiku huna lolote...je mkuu utafanyaje hapo?kumuazibu huyo dogo au unalipiza night na wewe kwa mwingine?