Je, Ushindi wa CHADEMA ni Ushindi wa UKAWA 2015?

Je, Ushindi wa CHADEMA ni Ushindi wa UKAWA 2015?

Nzilo

Senior Member
Joined
Nov 24, 2013
Posts
180
Reaction score
58
Ni muda mrefu toka kuundwa kwa UKAWA ambayo siyo chama.... nilipata wakati mgumu sana kujua kama ni chama au ni shirikisho? lakini pia nilipata wakati mgumu baada ya kugundua kuwa hakukuwa na mkataba wowote wa muungano huu bali tu ni makubaliano... Suala lingine ambalo silipatii majibu ni reaction ya wateule wa Ubunge wa CHADEMA walioteuliwa na chama hicho kupeperusha bendera ya CHADEMA huku wakiwa na malengo makubwa na shauku kubwa baada ya kujihakikishia ushindi katika uchaguzi mkuu wa October, 2015 na huku wakiwa wamepotezewa muda wao na raslimali zao kwa juhudi zao za kuhakikisha wanateuliwa na wana CHADEMA watakapoambiwa na Mh. Mbowe kuwa wawapishe wagombea wenzao kutoka UKAWA...
Kitendawili kingine ninachokiona ni pale CDM km ikifanikiwa kuingia Ikulu.... Je, Ushindi wao utakuwa wa UKAWA au wa CHADEMA? na kama ni wa UKAWA muundo wa Serikali ya UKAWA utakuwaje kama katiba ya sasa ndiyo itakayowaongoza kuunda dola?
 
baada ya vikao vya uvccm hizi et ndo mbinu wanazokuja nazo ili waisambaratishe ukawa. hahaaa!
 
baada ya vikao vya uvccm hizi et ndo mbinu wanazokuja nazo ili waisambaratishe ukawa. hahaaa!
Hakuna mbinu ya UVCCM hapo... hiyo ni hoja na mtizamo wangu..
 
Lowasa ameshasema kuwa mwenye ushahidi apeleke mahakamani kwani ndiyo chombo pekee kinachoweza kudhibitisha. Ufisadi,tusiwe watu rahisi wa kuhumu bila ushahidi,watanzania tumekua taiga la watu wa uzushi na majungu haijalishi huyu ni msomi au siyo msomi,kuhusu uchaguzi ni kweli magufuli ni mtendaji nzuri lakini hana uzoefu wa uongozi kama lowasa,pia chama chake nimekaa Muda mrefu madarakani sera Zile Zile wakati mwingine umeshindwa hata kuzitekeleza, hivyo tunahitaji mabadiliko tuone yanakuweje,hivyo nakuomba uwe mmoja wa kuleta mabadiliko ya kweli ili kuleta changamoto na hamasa kwa viongozi wetu ili waweze kujituma wanapokuwa madarakani.
 
Ni muda mrefu toka kuundwa kwa UKAWA ambayo siyo chama.... nilipata wakati mgumu sana kujua kama ni chama au ni shirikisho? lakini pia nilipata wakati mgumu baada ya kugundua kuwa hakukuwa na mkataba wowote wa muungano huu bali tu ni makubaliano... Suala lingine ambalo silipatii majibu ni reaction ya wateule wa Ubunge wa CHADEMA walioteuliwa na chama hicho kupeperusha bendera ya CHADEMA huku wakiwa na malengo makubwa na shauku kubwa baada ya kujihakikishia ushindi katika uchaguzi mkuu wa October, 2015 na huku wakiwa wamepotezewa muda wao na raslimali zao kwa juhudi zao za kuhakikisha wanateuliwa na wana CHADEMA watakapoambiwa na Mh. Mbowe kuwa wawapishe wagombea wenzao kutoka UKAWA...
Kitendawili kingine ninachokiona ni pale CDM km ikifanikiwa kuingia Ikulu.... Je, Ushindi wao utakuwa wa UKAWA au wa CHADEMA? na kama ni wa UKAWA muundo wa Serikali ya UKAWA utakuwaje kama katiba ya sasa ndiyo itakayowaongoza kuunda dola?
Mkuu hili swali mkeo kakutuma uulize, hebu uliza swali lako....
 
Itaundwa kama makubariano ya ukawa yalivyopangwa ondoa shaka juu ya hilo
 
UVCCM jijengeeni tabia ya kusikiliza idhaa kubwakubwa zenye uchambuz wa kina wa masuala ya siasa, TBC inawapotosha, anyway kwa msaada wa jbu la swali lako, kesho saa 1800hrs fatilia marudio ya DW rfa au capital radio, utakutana Tundu Lisu, kama hutaelewa nishitue nitakupga pindi ucjal kijana mwenzangu
 
Back
Top Bottom