Digging deeper
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 787
- 510
Kama kinavyojieleza kwenye kichwa.
utoto Ni sehemu ambayo mtoto hujifunza vitu mbalimbali,kipindi hichi watoto ucheza kwa pamoja mfano kwenye mpira uwa na sheria zake.
1...Hurusiwi kuvaa viatu,mwenye
mpira pekee ndonarusiwa kuvaa viatu.
2..ikitokea penati mtu yoyote anarusiwa kudaka penati.
3...Hakuna ufusaidi mtu akizidi
4..Hurusiwi kupinga ndochi.
5..hakiitwa mwenye mpira,mpira unaisha hapohapo.
6..Kama unaugomvi na mwenye mpira Hurusiwi kucheza,
Kama na wewe unazikumbuka zitaje sheria za mpira za utoto
utoto Ni sehemu ambayo mtoto hujifunza vitu mbalimbali,kipindi hichi watoto ucheza kwa pamoja mfano kwenye mpira uwa na sheria zake.
1...Hurusiwi kuvaa viatu,mwenye
mpira pekee ndonarusiwa kuvaa viatu.
2..ikitokea penati mtu yoyote anarusiwa kudaka penati.
3...Hakuna ufusaidi mtu akizidi
4..Hurusiwi kupinga ndochi.
5..hakiitwa mwenye mpira,mpira unaisha hapohapo.
6..Kama unaugomvi na mwenye mpira Hurusiwi kucheza,
Kama na wewe unazikumbuka zitaje sheria za mpira za utoto