Je unaweza kutahiriwa ukiwa na miaka zaidi ya 45?

kukumdogo

JF-Expert Member
Feb 1, 2011
2,871
2,762
Kwa wataalam napenda wanijulishe kama kunamadhara utapata ikiwa mtu atatahiriwa akiwa juu ya miaka 45
 
Kwa wataalam napenda wanijulishe kama kunamadhara utapata ikiwa mtu atatahiriwa akiwa juu ya miaka 45
Kutairiwa ni rahisi sana kwani ni kaoperesheni kadogo tu waweza fanya wakati wowote, ila ukumbuke kutoa Govi ni rahisi kimbembe ni ukitaka kurudisha govi lako, ndiyo maana mimi nasita sana kutoa Govi maana nimeisha lizoea
 
kama unawaza kwenda kulitoa pole sana, hicho kitu ni muhimu mno maishani mwako usidanganywe kwenda kulitoa hautapata tena ladha ya chungwa.
kwanza na uzee wote huo limekuchosha nini? au kuna nini kimekusibu mkuu unless uwe na sababu za kitabibu kuwa ni lazima ulitoe. ila mimi nakushauri liache tu usije jutia huko mbele ya safari
 
kama unawaza kwenda kulitoa pole sana, hicho kitu ni muhimu mno maishani mwako usidanganywe kwenda kulitoa hautapata tena ladha ya chungwa.
kwanza na uzee wote huo limekuchosha nini? au kuna nini kimekusibu mkuu unless uwe na sababu za kitabibu kuwa ni lazima ulitoe. ila mimi nakushauri liache tu usije jutia huko mbele ya safari
Wataalam wanasema ni rahisi kupata magonjwa
 
Yani miaka yooote udunde nalo leo ndo uwaze kulitoa, mwisho likutoe roho.... Lako hilo kaa nalo tu
 
Kutairiwa ni rahisi sana kwani ni kaoperesheni kadogo tu waweza fanya wakati wowote, ila ukumbuke kutoa Govi ni rahisi kimbembe ni ukitaka kurudisha govi lako, ndiyo maana mimi nasita sana kutoa Govi maana nimeisha lizoea
Hahahahahahahaha nimecheka kwa saut co kwa kituko hicho!!!!lol
 
Akaaaaa la kazi gani
Evelyn Salt, wewe umekeketa? Acha habari ya kupinga ukeketeaji, turudie kwenye mila, maana na kutahili ni mila, wewe umekeketa? Kuna wanaume wengine wanaona kutahili ni unyanyasaji wa kijinsia, upo hapo? The whole of Europe kutahili siyo jadi yao, unawaambiaje?
 
Evelyn Salt, wewe umekeketa? Acha habari ya kupinga ukeketeaji, turudie kwenye mila, maana na kutahili ni mila, wewe umekeketa? Kuna wanaume wengine wanaona kutahili ni unyanyasaji wa kijinsia, upo hapo? The whole of Europe kutahili siyo jadi yao, unawaambiaje?
Nikekete ili iweje, pamoja na madhara yooote bado watu wanakeketa pole zao....
Mwanaume kukaa na govi uchafu tu na risk ya kupata magonjwa
 
Back
Top Bottom