Je, unauonaje muundo huu wa wizara za Jamhuri ya Muungano?

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,342
6,467
Pendekezo la Wizara za Jamhuri ya Muungano

1. Menejimenti ya Utumishi wa Umma
2. Utawala Bora
3. Muungano, Mahusiano na Uratibu
4. Mazingira, Maji, Maliasili na Utalii
5. Katiba, Sheria, Sera, Bunge
6. Uwezeshaji, Uwekezaji, Viwanda, Biashara Ushirika na Kazi
7. TAMISEMI
8. Fedha
9. Mambo ya Ndani
10. Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ikiwemo EAC
11. Jinsia, Wazee, Vijana na Watoto
12. Ulinzi na JKT
13. Kilimo, Mifugo, Uvuvi na Chakula
14. Elimu, Sayansi na Teknolojia
15. Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
16. Nishari na Madini
17. Ujenzi na Uchukuzi
18. Afya na Ustawi wa Jamii
19. Habari, Burudani na Utamaduni

Ingawaje bado naona bado wizara ni nyingi lakini hakuna wizara kubwa hapa kwani ni urefu tu wa jina (wingi wa maneno si ukubwa wa wizara na kinyume chake ni sahihi); kulichozingatiwa hapa ni logical linkages kati ya majukumu; na pia idara zinaweza kutokana na maneno kwenye wizara zenye maneno mengi ingawaje si lazima.

Mawaziri 24 tu – asiyeweza kazi atambae – probation ni mwaka mmoja tu na atakayeshindwa kwenye probation ajue hakuna malipo yoyote ya kuastaafu na atafunguliwa kesi mahakamani ya uzembe kazini na kulisababishia hasara kubwa taifa – malengo na vigezo vitawekwa na M&E (focusing on outcome and impact) itakuwa rigorous.
 
Pendekezo la Wizara za Jamhuri ya Muungano

Menejimenti ya Utumishi wa Umma(Futa - Katibu Mkuu Kiongozi atosha)
Utawala Bora(Futa - PCCB na Tume ya Maadili zapaswa kujitegemea)Muungano, Mahusiano na Uratibu(Futa - sioni chochote hapo)
Mazingira, Maji, Maliasili na Utalii
Katiba, Sheria, Sera, Bunge[Futa - Mwanasheria Mkuu anatosha - Mahakama ni muhimili unaoongzwa na Jaji Mkuu]
Uwezeshaji, Uwekezaji, Viwanda, Biashara Ushirika na Kazi[Ondoa Uwezeshaji (sielewi ni nini), Ondoa uwekezaji - kazi ya TIC]
TAMISEMI
Fedha
Mambo ya Ndani
Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ikiwemo
Jinsia, Wazee, Vijana na Watoto[Futa - kazi zake zinacut across kwenye wizara nyingine
Ulinzi na JKT
Kilimo, Mifugo, Uvuvi na Chakula
Elimu, Sayansi na Teknolojia[Ondoa Sayansi na Teknolojia - iachiwe Tume ya Sayansi na Teknolojia]
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi[/FONT]
Nishari na Madini[/FONT]
Ujenzi na Uchukuzi[/FONT]
Afya na Ustawi wa Jamii[/FONT]
Habari, Burudani na Utamaduni[Futa - yaachiwe BMT na BASATA]

Ingawaje bado naona bado wizara ni nyingi lakini hakuna wizara kubwa hapa kwani ni urefu tu wa jina (wingi wa maneno si ukubwa wa wizara na kinyume chake ni sahihi); kulichozingatiwa hapa ni logical linkages kati ya majukumu; na pia idara zinaweza kutokana na maneno kwenye wizara zenye maneno mengi ingawaje si lazima.

Mawaziri 24 tu – asiyeweza kazi atambae – probation ni mwaka mmoja tu na atakayeshindwa kwenye probation ajue hakuna malipo yoyote ya kuastaafu na atafunguliwa kesi mahakamani ya uzembe kazini na kulisababishia hasara kubwa taifa – malengo na vigezo vitawekwa na M&E (focusing on outcome and impact) itakuwa rigorous.

Tunaweza kuwa na wizara kumi na tatu (13) tu!
 
Sasa wazee wizara zikiwa chache waliowezesha ushindi wa wizi wa kura wataenea vipi???? Tusilazimishe mambo!!!!!!!!!! Kwanza hebu angalia hesabu hii niliona kwenye gazeti moja leo asbuhi kwenye runinga: walioachwa =9, walioingia wapya =24? Sasa nikajuiliza hivi si mgogoro ulikuwa mawaziri siui 60!!!, sasa ukiongeza 24 mbona wanakuwa 84!!!!!!!!!!; Wuuuuuuup!!!!nikazidi kupotea!!!! WanaJF sijui kuna anayepata hesabu hizi za mkwere???????????????
 
Back
Top Bottom