Je, unajua sababu ya miamala kuchelewa kurudishwa?

papiso

JF-Expert Member
Dec 1, 2013
391
228
Habari zenu ni kipindi kirefu sana sijaandika kitu humu ndani anyway let me start , kumekuwa na malalamiko mengi sana juu ya kuchelewa kwa miamala inayokosewa ktk makampuni hususani mpesa na tigo pesa
Kuna sababu nyingi ila ntajaribu kizielezea moja baada ya nyingine

Kuna miamala ya aina nyingi na kila muamala una muda wake na njia zake naomba kwanza niilezee baina ya miamala
*muamala baina ya mteja kwa mteja
*mteja na wakala
*wakala kwa mteja
.*mteja na benk ,benk kwa mteja
*mteja kukosea kwa kampuni mfano malipo ya maji luku nk
*miamala ya huduma mfano kukosea kununua salio au bando umepanga kununua salio la 10000 ukanunua laki hii hairudishwi

Pia kuna miamala baina ya mteja wa mtandao mmoja kwenda kwa mwengine
Haina ya miamala ina changamoto sana maana mpaka sasa mitandao haina one system ambayo inaweza kuzuia hela ya mteja isitolewe

Hii inapelekea mkanganyiko sana kwa mteja endapo atakosea chance ya kurudishwa inakuwa ya mashaka nitoe mfano mtu wa tigo akikosea kutuma pesa kwenda mpesa ili hela yake iwe salama ni lazima narudia tena ni lazima awapigie watu wa voda wazuie ile pesa kwanza kisha ndio apige tigo kwa hatua za kurudishiwa sasa matatizo ya vodacom hasa kwa customer care wao nitayasemea baadae

Miamala baina ya mteja kwa mteja uwa napenda kutoa ushauri kabla hujatuma kwanza kabisa fanya conformation impigie simu unayemtumia hakikisha namba ni sahii na kiasi pia kabla ujaweka pin zako zingatia jina ukishatuma mpigie simu kujiridhisha ktk masuala ya hela haraka haraka haitakiwi

Tigo pesa hata mpesa miamala midogo midogo chini ya laki au 5k hurudishwa mapema sana inaporipotiwa ila kwa tigo bado kuna ukiritimba japo pia wanasababu zao miamala ya pesa ndefu hapo ndipo kuna tatizo kubwa sana

Endapo utagundua umekosea kutuma hela kutoka benk kwenda kwenye simu mtu awe wa mtandao wowote hatua ya kwanza iwe ni kupiga simu huduma kwa wateja hakikisha kwanza pesa ile imezuiliwa kwanza watu wengi wamekuwa wakiwapigia simu watu waliopokea pesa bila kujua kwa kufanya vile unakosea sometimes unaweza pokea pesa na meseji isiipate hivyo kumpigia simu ni kama vile unampa habari na hii ni kwa miamala yote
 
Kuna miamala ya aina nyingi na kila muamala una muda wake na njia zake naomba kwanza niilezee baina ya miamala
*muamala baina ya mteja kwa mteja
*mteja na wakala
*wakala kwa mteja
.*mteja na benk ,benk kwa mteja
*mteja kukosea kwa kampuni mfano malipo ya maji luku nk
*miamala ya huduma mfano kukosea kununua salio au bando umepanga kununua salio la 10000 ukanunua laki hii hairudishwi
Susha nondo mkuu
 
Habari zenu ni kipindi kirefu sana sijaandika kitu humu ndani anyway let me start , kumekuwa na malalamiko mengi sana juu ya kuchelewa kwa miamala inayokosewa ktk makampuni hususani mpesa na tigo pesa
Kuna sababu nyingi ila ntajaribu kizielezea moja baada ya nyingine
Ndiyo nin?
 
Hii inapelekea mkanganyiko sana kwa mteja endapo atakosea chance ya kurudishwa inakuwa ya mashaka nitoe mfano mtu wa tigo akikosea kutuma pesa kwenda mpesa ili hela yake iwe salama ni lazima narudia tena ni lazima awapigie watu wa voda wazuie ile pesa kwanza kisha ndio apige tigo kwa hatua za kurudishiwa sasa matatizo ya vodacom hasa kwa customer care wao nitayasemea baadae
Kwann usingeweka nondo zako kwny yhread na sio kwa mtindo wa comment? hilo pekee linaondoa legitcimacy kwako, pia ni kutojiamini na ni kutafuta attention...pia kwa mtindo wako ni ngumu kutumika km reference. Shenz
 
Kwann usingeweka nondo zako kwny yhread na sio kwa mtindo wa comment? hilo pekee linaondoa legitcimacy kwako, pia ni kutojiamini na ni kutafuta attention...pia kwa mtindo wako ni ngumu kutumika km reference. Shenz
Ok kila mtu ana style yake thread zipo nyingi kama hii inakuboa pita kushoto mkuu matusi ya nini
 
Habari zenu ni kipindi kirefu sana sijaandika kitu humu ndani anyway let me start , kumekuwa na malalamiko mengi sana juu ya kuchelewa kwa miamala inayokosewa ktk makampuni hususani mpesa na tigo pesa
Kuna sababu nyingi ila ntajaribu kizielezea moja baada ya nyingine
Hizo sababu unazielezea kimoyomoyo?
 
We mleta mada acha malingo ya kike unazani unatongozwa, sasa style gani iyo ya kuandika? Nenda zako uko.
 
Endapo utagundua umekosea kutuma hela kutoka benk kwenda kwenye simu mtu awe wa mtandao wowote hatua ya kwanza iwe ni kupiga simu huduma kwa wateja hakikisha kwanza pesa ile imezuiliwa kwanza watu wengi wamekuwa wakiwapigia simu watu waliopokea pesa bila kujua kwa kufanya vile unakosea sometimes unaweza pokea pesa na meseji isiipate hivyo kumpigia simu ni kama vile unampa habari na hii ni kwa miamala yote
Huko customer care yenyew unapiga simu unaskia ndugu mteja simu yako inarekodiwa baada ya mda utahudumiwa na ma nyimbo yao ..kama una shida ya haraka sasa apo vipi
 
Huko customer care yenyew unapiga simu unaskia ndugu mteja simu yako inarekodiwa baada ya mda utahudumiwa na ma nyimbo yao ..kama una shida ya haraka sasa apo vipi
Ni protocal tu unapopiga simu huduma kwa wateja haimaanishi mteja ni wewe tu kuna wengine wanahudumia pia hivyo unawekwa kwenye foleni automatic ila isiachie laini mpaka utakapohudumiwa karibu
 
Hizo sababu unazielezea kimoyomoyo?
Sabubu
Miamala kuchelewa hasa ile mikubwa mosi ushapu wa watoa huduma pili mazingira ya muamala na tatu mawasiliano baina ya pande husika wa muamala ie mtumaji na mpokeaji
Endapo mawasiliano yakapatikana na wote wakaafiki kwamba pesa ilikwenda kimakosa basi hela hurudishwa ndani ya masaa 12 mpaka 24 ikatokea mmoja hapatikani muda wa kushughulikia muamala husogezwa mbele ila haizidi siku tano
 
Ni protocal tu unapopiga simu huduma kwa wateja haimaanishi mteja ni wewe tu kuna wengine wanahudumia pia hivyo unawekwa kwenye foleni automatic ila isiachie laini mpaka utakapohudumiwa karibu
Kuna limtandao la Halotel ukipiga customer care wanakuwekea matangazo yao weee hupati option ya kuongea na muhudumu fqkeni kabisa
 
Ni protocal tu unapopiga simu huduma kwa wateja haimaanishi mteja ni wewe tu kuna wengine wanahudumia pia hivyo unawekwa kwenye foleni automatic ila isiachie laini mpaka utakapohudumiwa karibu
Sasa ukikosea kutuma hela unahitaji huduma ya haraka ndo hvyo kusubirishwa tena mpk huko ulipomtumia anatoa hela
 
Voda noma sana, tar 15 Des 2017, nlinunua kifurushi kwa mpesa ikaja msg kuwa nijaribu baada ya dk 10, baada ya nusu saa nikanunua tena wakasema tayari nimeisha nunua na hela wakakata, baadae wakasema muamala haukufanikiwa, mpaka leo hela haikurudi wala kifurushi ckupata, nimepiga cm mara kibao, majibu ni kuwa hela inarejeshwa. Voda wazushi kweli.
Nimeumua kuhamia halotel.
 
Back
Top Bottom