saddyy
Member
- Dec 28, 2014
- 58
- 54
Je, unajua ni kwanini ndoa hazidumu?
Ndoa hazidumu kwa sababu kabla ya kufunga ndoa watu wanakuwa Obssesed na Wedding Ceremony Imaginations, bila kujua Ndoa inaenda mbali zaidi! Kuna ndoa na kuna harusi.
Wengi mnapenda zaidi harusi na mnapowaza ndoa picha inayowajia ni Suti kali, Boonge la Shela kutoka Uturuki, Make Up ya ukweli ya bibi harusi kutoka Maznat Mikocheni, mashosti kuingia ukumbini na wimbo wa Alingo.
Wanafiki kukomeshwa kwa jinsi pati yako itakavyokuwa kali pale Karimjee Hall.Je, umewahi kuwaza mmeo au mkeo akiumwa miaka 5 mfululizo utaweza kumvumilia?
Umewahi kuwaza watoto watakapozaliwa na ulemavu utawa-care namna gani?? Mtakapokosa watoto miaka 6 ya ndoa utahimili maneno ya Mama Mkwe na Mawifi kwamba unawajazia Choo cha kaka yao na huna kizazi?
Ndoa ni zaidi ya sherehe ya Harusi. Baada ya yale Matarumbeta kuzimika usiku kifuatacho ni Majukumu mazito na Kiapo kisichovunjika. Achana na fantasy za kwaito, waza mbali kidoogo.
Je, Uko tayari kuwa mme au mke wa mtu mmoja tu au Ma-x watarejea kidogo kidogo kama hupati Satisfaction ya kutosha kama ya Ex wako? Huwa mnawaza hayo au mnawaza zawadi ya kama ti itatoa Benzi ya kuanzia maisha.
Ndoa hazidumu kwa sababu kabla ya kufunga ndoa watu wanakuwa Obssesed na Wedding Ceremony Imaginations, bila kujua Ndoa inaenda mbali zaidi! Kuna ndoa na kuna harusi.
Wengi mnapenda zaidi harusi na mnapowaza ndoa picha inayowajia ni Suti kali, Boonge la Shela kutoka Uturuki, Make Up ya ukweli ya bibi harusi kutoka Maznat Mikocheni, mashosti kuingia ukumbini na wimbo wa Alingo.
Wanafiki kukomeshwa kwa jinsi pati yako itakavyokuwa kali pale Karimjee Hall.Je, umewahi kuwaza mmeo au mkeo akiumwa miaka 5 mfululizo utaweza kumvumilia?
Umewahi kuwaza watoto watakapozaliwa na ulemavu utawa-care namna gani?? Mtakapokosa watoto miaka 6 ya ndoa utahimili maneno ya Mama Mkwe na Mawifi kwamba unawajazia Choo cha kaka yao na huna kizazi?
Ndoa ni zaidi ya sherehe ya Harusi. Baada ya yale Matarumbeta kuzimika usiku kifuatacho ni Majukumu mazito na Kiapo kisichovunjika. Achana na fantasy za kwaito, waza mbali kidoogo.
Je, Uko tayari kuwa mme au mke wa mtu mmoja tu au Ma-x watarejea kidogo kidogo kama hupati Satisfaction ya kutosha kama ya Ex wako? Huwa mnawaza hayo au mnawaza zawadi ya kama ti itatoa Benzi ya kuanzia maisha.