Hapana Sina maana hiyo ,ila Mwenye mtalimbo aende kwa Mwenye Bwawa saiz yake ,lkn akikutanua ww mwisho wa siku 70%+ ya wanaume ni Size ya Kati ,ambao ninyi huwaita vibamia huku 25%+ Iliyobaki ni hao wenye mitalimbo so unadhani nan anastahiki hapo?Mkuu unamaanisha tuwakatae Waliojaliwa mitalimbo..viguu vya watoto?.
Uko Sahihi mkuu,WATANZANIA TUTAZIDI KUWA MASKINI HADI MWISHO WA DUNIA. YAANI TUNAWAZA NGONO MASAA 24 SIKU 7 ZA WIKI.
UKIENDA MASHULENI KESI NI ZA NGONO TU. MAOFISINI STORY NI ZA NGONO TU MARA FULANI ANATOKA NA FULANI YAANI NI FULL UZINZI.
Mungu aturehemu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo bwana nani kawaza ngono masaa 24, hii post si unatype dakika moja tu. Af unaendelea na viwanda vyakoWATANZANIA TUTAZIDI KUWA MASKINI HADI MWISHO WA DUNIA. YAANI TUNAWAZA NGONO MASAA 24 SIKU 7 ZA WIKI.
UKIENDA MASHULENI KESI NI ZA NGONO TU. MAOFISINI STORY NI ZA NGONO TU MARA FULANI ANATOKA NA FULANI YAANI NI FULL UZINZI.
Mungu aturehemu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzetu unawaza nini ?WATANZANIA TUTAZIDI KUWA MASKINI HADI MWISHO WA DUNIA. YAANI TUNAWAZA NGONO MASAA 24 SIKU 7 ZA WIKI.
UKIENDA MASHULENI KESI NI ZA NGONO TU. MAOFISINI STORY NI ZA NGONO TU MARA FULANI ANATOKA NA FULANI YAANI NI FULL UZINZI.
Mungu aturehemu!
Sent using Jamii Forums mobile app
OA mwenye churaJaman kat ya single maza mwenye chura na mchana fresh nioe yup???
Text meNo ni hivi zamani nilikuwa napenda sana kubwa ila kwa sasa sipendi hata kidogo napenda wastani au kibamia