polokwane JF-Expert Member Joined Dec 16, 2018 Posts 3,984 Reaction score 7,299 Nov 15, 2019 #41 decomm said: Kama upo Dar au ukanda wa pwani, kula kolekole wa kuchoma halafu ulete mrejesho kwa kulinganieha na samaki wa ziwa Tanganyika Click to expand... Ukitaka samaki watamu zaid na wenye ladha nzuri zaid ya wote wanapatikana ziwa nyasa tatizo ni uchache tu na hawapatikan kwa wingi ila ni watamu sana yaan hao tanganyika, victoria na samaki wabaharini hawatii mguu huko aisee. decomm said: Kama upo Dar au ukanda wa pwani, kula kolekole wa kuchoma halafu ulete mrejesho kwa kulinganieha na samaki wa ziwa Tanganyika [/QUOTE Click to expand...
decomm said: Kama upo Dar au ukanda wa pwani, kula kolekole wa kuchoma halafu ulete mrejesho kwa kulinganieha na samaki wa ziwa Tanganyika Click to expand... Ukitaka samaki watamu zaid na wenye ladha nzuri zaid ya wote wanapatikana ziwa nyasa tatizo ni uchache tu na hawapatikan kwa wingi ila ni watamu sana yaan hao tanganyika, victoria na samaki wabaharini hawatii mguu huko aisee. decomm said: Kama upo Dar au ukanda wa pwani, kula kolekole wa kuchoma halafu ulete mrejesho kwa kulinganieha na samaki wa ziwa Tanganyika [/QUOTE Click to expand...
decomm JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 726 Reaction score 666 Dec 1, 2019 Thread starter #42 #5 Masangutu said: Mkuu kuna huyu samaki kwa kiingereza anaitwa "bluefin tuna"ndio samaki gani hapo kwenye list,kwa anaejua please(ndio samaki ghali kuliko wote duniani) Click to expand...
#5 Masangutu said: Mkuu kuna huyu samaki kwa kiingereza anaitwa "bluefin tuna"ndio samaki gani hapo kwenye list,kwa anaejua please(ndio samaki ghali kuliko wote duniani) Click to expand...