Mpiluka prosper
Member
- Jul 10, 2013
- 30
- 23
Habarini viongozi
Ni kama mara mbili hivi sasa nimekuwa nikishituka kwa kasi sana na kuhisi kama nimepigwa na shoti ya umeme.
Je..!! hili hunitokea mimi tu au pia kuna mtu amewah kupatwa na hii hali kama inayonipata mimi.
Nakaribisha michango kwa yeyote mwenye uelewa katika jambo hili
Naomba kuwasilisha..
Ni kama mara mbili hivi sasa nimekuwa nikishituka kwa kasi sana na kuhisi kama nimepigwa na shoti ya umeme.
Je..!! hili hunitokea mimi tu au pia kuna mtu amewah kupatwa na hii hali kama inayonipata mimi.
Nakaribisha michango kwa yeyote mwenye uelewa katika jambo hili
Naomba kuwasilisha..