MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,612
- 41,649
aaahh sanaNa mbadilike kweli.
aaahh sanaNa mbadilike kweli.
Na wewe ni robot?Kama unanijua wallah
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kama mpenzi wako huwa hapigi simu hadi uanze wewe kaa ukijua unadate na Roboti.
Kama mpenzi wako anapenda kupokea na hataki kutoa huyo ni Roboti ndugu yangu!
Kama mkiwa on the baby kiuno chake kizito kama gunia la chumvi huyo ni Roboti.
Kama mpenzi wako unamnunulia vocha halafu anaku beep huyo ni Roboti!
Kama upo kwenye mahusiano na MTU ambaye analalamika kwa mwaka Mara 360 huyo ni Roboti ndugu yangu!
Wanaodate na maroboti waje hapo watoe dukuduku la Moyoni[emoji23]
ExactlyNa wewe ni robot?
[emoji23] [emoji23]Hhaha me nimewai date na vampire
Hahaahaa!leta huo mkasa mkuuNimewahi kudate na roboti moja hivi, hakika lile uroboti wake ulikuwa too much.
[emoji23] [emoji23] kuna wanawake wana fujo kama sisimizi yaani hapalaliki!Wanakufanyia vitimbi hadi unapungukiwa damu, unaweza pata hata ugonjwa wa moyo mkuu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]nilishawahi kudeti na wa aina hiyo acha kabisa, yaani hafai
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha this made me laugh [emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]haya wale maroboti wenzangu tubadilike
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama unanijua wallah
Tupe mrejesho!Bado , Baby angu ni mwanamke mmoja hana mfano kuanzia nje mpaka ndani yee ni namba mojaaaa
[emoji23] [emoji23]Migumegume hiyo
Kama vile anachomwa sindano[emoji23] [emoji23]Kwenye kamchezo kenyewe ndo pana maroboti wengi
Mtu mpaka umwambie fanya hivi kaa hivi kama umemshikia remote