Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Kuna mengi katika mahusiano, wengine wanaanzisha mahusiano kwa sababu ya kupata kitu flani kutoka kwa mwenza wake
Wengine wanaanzisha mahusiano ili wapate penzi tu, wengine Ndoa, wengine maisha mazuri,
Wengine pia wanaanzisha mahusiano ili jamii iwaone kuwa na wao wako wanaishi na flani, wengine for their benefit, eg. kupewa gari au Nyumba na N.K
Je, ulitamani kupata kitu gani kutoka kwa X (boyfriend/girfriend) wako na hukukipata mpaka ile siku mnafikia kuachana?
Funguka.
CC Zero IQ
Wengine wanaanzisha mahusiano ili wapate penzi tu, wengine Ndoa, wengine maisha mazuri,
Wengine pia wanaanzisha mahusiano ili jamii iwaone kuwa na wao wako wanaishi na flani, wengine for their benefit, eg. kupewa gari au Nyumba na N.K
Je, ulitamani kupata kitu gani kutoka kwa X (boyfriend/girfriend) wako na hukukipata mpaka ile siku mnafikia kuachana?
Funguka.
CC Zero IQ