Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,367
- 9,744
Hii picha nimeona niilete huku baada ya kuikuta sehemu sehemu dah ikanikumnbusha zamani sana mimi nilikuwa naogopa Vunjajungu tu yaani kama yupo njiani basi siku ndio inakwa ishaharibika na sipitiroad iyo katu kwani niliambiwa vunjajungu akikugusa basi hakuachii hadi mjomba wako tu ndio anaachia lol utotoni sikuwahi ishi na mjomba karibu so nilihofia kupita maelezo japo hadi ukubwani nikimuona nastuka japo siogopi nampita tu
Pia nilishawahi chezea kifaranga mbona mziki wa Kuku niliujua dono dono dono
Tizama huu Msala wa Dogo.. ila Mtaniwia Radhi.....
Haya Madenge nilipoenda kanda ya Ziwa pale Shinyanga lazima utayaona na Mwanza pia nadhani yapo Lake zone yote..
Dogo nadhani anaona kaa Mwisho wa Dunia ndio Ushafika! hehe
Pia nilishawahi chezea kifaranga mbona mziki wa Kuku niliujua dono dono dono
Tizama huu Msala wa Dogo.. ila Mtaniwia Radhi.....
Haya Madenge nilipoenda kanda ya Ziwa pale Shinyanga lazima utayaona na Mwanza pia nadhani yapo Lake zone yote..
Dogo nadhani anaona kaa Mwisho wa Dunia ndio Ushafika! hehe