Marahabambaaaa AL !! Miss your Magic Smile!!!
Nikiwa katikati ya kundi langu la kijiweni huko kwetu kunaitwa Jamaica camp nikasema acha na mimi nijaribu kuvuta leo hiyo bangi nione.
Duh nikavuta bonge la msokoto wa bangi kilichofuata akipita kuku au inzi mimi kucheka tu, baadae nikajisaidia haja kubwa tena nilijificha nyuma ya mchaichai nikihisi nipo kwenye bonge la msitu na nilipomaliza nilikula ugali mkubwa sana haikuishia hapo baadae nikawa nikitembea barabarani nikawa nahisi barabara inatitia na nilipolala kitanda kikawa kinazama.
Sitaki bangi tena.
Makamee Umesahau ile part ya "..nilikula ugali mkubwa..."? kala bwana mikimba yake?Mbona umesahau? Yale mavi uliyokunya hukuyala?
Hata kupita mlangoni ni shida yani mlango unakua kama mdogo teh, lazma uiname au upite kiubavu ubavu
Kweli wewe ni mwanachama mtiifuIlivoondoka nikaiita ikarudi tena
Cha tarime "ntamgecha" mtu tehMaadame tuwasiliane niwe nakuletea kitu cha Tarime kikali ninacholima na kutengeneza mwenyewe.
Wewe hujawahi kujaribu?
Duh sitamani bangi kabisa siku ya kwanza nilipojaribu nilipata kizungu zungu cha hatari nlipolala kitanda kilikuwa kinazunguka nkapata uoga hapo mapigo ya moyo yalikuma yanaenda kasi sana...nlipata shida sana siku ile sitaman hata kukumbuka na sitaki bangi tena tena tena na tenaaaaaaaaaaa
RohombayaKhaa!! Mimi nililima siku tatu bila kupumzika, kula wala kunywa