Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,373
Wadau,
Naomba mwenye ufahamu anisaidie,nikitaka kununua gari ambalo lilisamehewa kodi ya serikali(Tax exempted) linalomilikiwa na taasisi kidini,Je ni nitapaswa kulipia ile gharama ya kodi iliyosamehewa au sitalipia?
Na kama lina miaka 10 nyuma tangu taasisi hio iagize gari hilo na nitatakiwa kulipia kodi itakuwa ni ileile,itapanda au itashuka?
Naombeni ufafanuzi.
Naomba mwenye ufahamu anisaidie,nikitaka kununua gari ambalo lilisamehewa kodi ya serikali(Tax exempted) linalomilikiwa na taasisi kidini,Je ni nitapaswa kulipia ile gharama ya kodi iliyosamehewa au sitalipia?
Na kama lina miaka 10 nyuma tangu taasisi hio iagize gari hilo na nitatakiwa kulipia kodi itakuwa ni ileile,itapanda au itashuka?
Naombeni ufafanuzi.