Je Ukinunua gari la Taasisi lililosamehewa kodi utapaswa kulipa?

Farolito

JF-Expert Member
Sep 10, 2018
11,634
26,373
Wadau,
Naomba mwenye ufahamu anisaidie,nikitaka kununua gari ambalo lilisamehewa kodi ya serikali(Tax exempted) linalomilikiwa na taasisi kidini,Je ni nitapaswa kulipia ile gharama ya kodi iliyosamehewa au sitalipia?

Na kama lina miaka 10 nyuma tangu taasisi hio iagize gari hilo na nitatakiwa kulipia kodi itakuwa ni ileile,itapanda au itashuka?

Naombeni ufafanuzi.
 
Wadau,
Naomba mwenye ufahamu anisaidie,nikitaka kununua gari ambalo lilisamehewa kodi ya serikali(Tax exempted) linalomilikiwa na taasisi kidini,Je ni nitapaswa kulipia ile gharama ya kodi iliyosamehewa au sitalipia?

Na kama lina miaka 10 nyuma tangu taasisi hio iagize gari hilo na nitatakiwa kulipia kodi itakuwa ni ileile,itapanda au itashuka?

Naombeni ufafanuzi.
Aisee kikokotoo cha TRA hakieleweki unaweza kupigwa kodi ileile wakati linaingizwa nchini
 
Wadau,
Naomba mwenye ufahamu anisaidie,nikitaka kununua gari ambalo lilisamehewa kodi ya serikali(Tax exempted) linalomilikiwa na taasisi kidini,Je ni nitapaswa kulipia ile gharama ya kodi iliyosamehewa au sitalipia?

Na kama lina miaka 10 nyuma tangu taasisi hio iagize gari hilo na nitatakiwa kulipia kodi itakuwa ni ileile,itapanda au itashuka?

Naombeni ufafanuzi.
Utapaswa kulipia kwendana na uchakavu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom