Je, uchawa utaushinda umma?

Je, uchawa utaushinda umma?

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,959
Reaction score
13,428
Kwa machawa, leo ni siku muhimu sana. Anayewafuga kajitutumua asijue kitakachofuatia. Wapo wanasherehekea wasijue watalia soon.

Samia hawezi kutobowa. Naamini machawa na awafugaye watatobolewa. Ni suala la muda. Ukitaka kujua hiii, angalia spidi ya mashehetani ya kutishia wengine ilivyozimika kabisa.

Madai yake ya uongo hayawezi kumuokoa na kurejesha imani kwake. Ameshindwa vibaya sana kiumbe huyu wa ajabu aliyenyimwa busara na maarifa.
 
Back
Top Bottom