Je tutafika kweli?

Je tutafika kweli?

njiwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2009
Posts
13,258
Reaction score
7,101
dmn.jpg



Daraja la kigamboni washaanza kuligeuza dampo...

huko dar es salaam wenzetu mbona mna mambo ya ajabu ? waangetujengea sisi tu Tanga ! maana tunaustaarabu wakutosha nadhani
 
Kwa kweli tunasikitisha! hadi watani zetu wamekataa kuwa sio lao
 
Back
Top Bottom