Je, tunajenga Taifa la aina gani?

Tunahitaji kubadili mfumo wetu wa kujiendesha...tuwe na Sheria nzuri na Bora kuanzia hapo mwelekeo wetu kama taifa utakuwa ktk njia sahihi.

Hizi Sheria za kujiwekea makongwa si nzuri kwa ustawi wa taifa letu maana unatoa upenyo kwa kiongozi kufanya jambo lolote.

Kiongozi mzuri na imara ni yule anaye tokea ktk mfumo sahihi.
 
Tatizo lako hujibu hoja unahemkwa tu, kwakua maslahi yako na au wadau wako yameguswa.

Ingekua vyema kama ungejibu hoja na kuweka Manung'uniko pembeni!
 
Ungejibu hoja Sheria ya uhujumu uchumi ilikuwepo mbona tulikua tunatoa magogo tanga na kuyapeleka Mombasa kisha kuyaleta dar es salaam kuyauza kwa bei ya importation?

Tatizo sio kuwepo kwa Sheria tatizo lipo kwenye usimamizi wa Sheria.

Kama tuliweza kufumba macho alipobakwa unaonaje tukifunba macho leo akiolewa?
 
Hata majumbani kwetu tuna taratibu. Tunaswali kwanza kabla ya kula. Tunanawa kwanza kabla ya kula, n.k. Huwezi kuruka taratibu kwa kisingizio cha kuharakisha mambo.
Mnanikera kwakua mnajifanya ku reply comment yangu wakati mnaandika malalamiko badala ya kujibu hoja
 
Tafsiri take kwamba kuna viongozi wanavunja sheria huku wakifahamu fiks ndio wanatafuta Kings kwa makosa wsliyokwisha fanya na wanayotarajia kuyafanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…