Hawa wanasheria wa mitaan hawa muwe makin nao.
Trafic anaweza kukunyang'anya lesen yako endapo itapatikana na makosa mfano, lesen yako imeisha mda wake, lesen yako inaonesha class tofauti na gari unayoendesha, umetumia lugha chafu au umemzuia kufanya kaz yake na huyo trafic kupitia
vihicle inspetor anauwezo wa kukufungia lesen yako isifanye kaz tena..
Sasa unavyojitutumua mbele ya askar hakikisha unaijua vyema sheria na uwe unatambua ya kuwa huyo askar ana makosa kweli.
Wengi nmeona wanajitutumua kwa kuwa wamefundishwa na bush lawyer baadae wanajikuta wanaingia kwenye makosa ya kujitakia..